10mil
Member
- Jun 14, 2019
- 64
- 79
Wakuu kwa mawaziri wa awamu hii nadiriki kusema waziri wa mali asili na utalii ni wazuri anayeonekana anajua anachokifanya,tangu aingie kwenye hiyo wizara ametulia vizuri na amekuwa mchapakazi.
Kila mda yupo kazini,hakuna siku hutamwona akiwa kazini kwenye mbuga na sehemu zingine zinazohusu utalii,ameleta mabadiliko na ameendana na kasi ya mheshimu Rais.
Haya ni maoni yangu,je ni waziri gani mwingine ameonyesha jitihada?
Kila mda yupo kazini,hakuna siku hutamwona akiwa kazini kwenye mbuga na sehemu zingine zinazohusu utalii,ameleta mabadiliko na ameendana na kasi ya mheshimu Rais.
Haya ni maoni yangu,je ni waziri gani mwingine ameonyesha jitihada?