James Martin
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 1,205
- 1,509
Jamaa anadhani siasa ni Cooperate entity. ... kwamba the boss is always right and you have the job.. no problem. ...
Asilojua kwenye siasa kupotea ni very very simple..... and it's gone....
Weka akiba ya maneno kiongozi
Huyu Kigwangala naye hovyo kabisa. Boss hayuko sawa siku zote, hasa kwenye mambo ya siasa. Ndiyo maana nchi za dunia ya kwanza walio ya chini ya rais au waziri mkuu wanajiuzulu wakiwa hawana imani naye.