Duh kweli Mzee Kingunge kachoka kiakili.
Hebu mkumbusheni alivyotuibia pale Ubungo Bus Terminal!
Alitaka hata akiiba viongozi wa dini wamsifie?
Nyerere alikwisha sema ukingia tabia ya kula nyama ya watu huiachi tabia hiyo,Kingunge anakwenda mbali zaidi n kuta kuihalalisha.
Mzee Kingunge ushindwe,uchoke,uzeeke na ulegee!
Baba Mungu ni kwa nini unamchukua kanumba unaacha wazee ambao ubongo wao unaenda reverse kama huyu hapa? E baba lete mauti kwa huyu dunia iondokane na uchafu huu