Kingunge aonya kuhusu Muungano

Kingunge aonya kuhusu Muungano

K-Boko

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2013
Posts
697
Reaction score
218
Mzee Kingunge Ngombale Mwiru ameonya kupitia Channel 10 usiku huu kwamba ili kuunda muungano mwingine wa aina yoyote ile na Zanzibar nje ya huu wa sasa, inabidi kuuvunja kwanza huu uliopo! Anauliza mandate ya kuuvunja kienyeji haupo hadi ipitishwe kura ya maoni kwa Watanzania wote waamue aidha kuuvunja huu wa sasa au la. Mie naiona point! Nawasilisha.
 
Kwani huo wa Zamani ulipoasisiwa iliitishwa kura ya maoni?. Mizee hii haifi tukapumzika maana akili zao Kama WEHU
 
Mzee Kingunge Ngombale Mwiru ameonya kupitia Channel 10 usiku huu kwamba ili kuunda muungano mwingine wa aina yoyote ile na Zanzibar nje ya huu wa sasa, inabidi kuuvunja kwanza huu uliopo! Anauliza mandate ya kuuvunja kienyeji haupo hadi ipitishwe kura ya maoni kwa Watanzania wote waamue aidha kuuvunja huu wa sasa au la. Mie naiona point! Nawasilisha.

Ipi mojawapo?
 
Mzee Kingunge Ngombale Mwiru ameonya kupitia Channel 10 usiku huu kwamba ili kuunda muungano mwingine wa aina yoyote ile na Zanzibar nje ya huu wa sasa, inabidi kuuvunja kwanza huu uliopo! Anauliza mandate ya kuuvunja kienyeji haupo hadi ipitishwe kura ya maoni kwa Watanzania wote waamue aidha kuuvunja huu wa sasa au la. Mie naiona point! Nawasilisha.

Please note the expiry date: Who listens to a senile ex-politician like Kingunge?
 
Kwani ulianzishwa kwa kula ya maoni?!!! Kingunge tulia kula tu mafao yako.
 
Wapi point hapo? Kwa nn kuuvunja itakiwe kura ya maon.?ulipoundwa kwan watu walipiga kura ya maon?
 
Mmzee huyu kazeeka mno inabidi akakae makumbusho ya taifa kwaajili ya vizazi vijavyo.
 
Hawa ndio wazee wetu waliobaki na wenye busara,,,mawazo yake sio yakuyapuuzia,,,hawa ndio wenye tanzania ,,,,tuwaheshimu tafadhali
 
Hawa ndio wazee wetu waliobaki na wenye busara,,,mawazo yake sio yakuyapuuzia,,,hawa ndio wenye tanzania ,,,,tuwaheshimu tafadhali

kama alijua hivyo,kwa nini hatukumsikia akishauri kabla ya tume kukusanya maoni tupige kura ya maoni kwanza? ameshazeeka na akili yake imechoka
 
Mzee Kingunge Ngombale Mwiru ameonya kupitia Channel 10 usiku huu kwamba ili kuunda muungano mwingine wa aina yoyote ile na Zanzibar nje ya huu wa sasa, inabidi kuuvunja kwanza huu uliopo! Anauliza mandate ya kuuvunja kienyeji haupo hadi ipitishwe kura ya maoni kwa Watanzania wote waamue aidha kuuvunja huu wa sasa au la. Mie naiona point! Nawasilisha.

Kwani mkuu huu muungano wa sasa ulipitishwa kwa kura ipi ya maoni? Huwezi kuacha kazi hujapata kazi! Tutaendele nao tu hadi katiba mpya ipatikane itakayoamua aina gani ya muungano.
 
Hawa ndio wazee wetu waliobaki na wenye busara,,,mawazo yake sio yakuyapuuzia,,,hawa ndio wenye tanzania ,,,,tuwaheshimu tafadhali

Hakuna mwenye Tanzania zaidi ya watanzania!
 
Back
Top Bottom