Asante mjukuu wangu. Nani kakwambia kutaka Peace tv ni kuutaka ujana na kujifanya usheikh? Hata ivo usheikh kwangu hauna maana kwa tafsiri yako ulivofasiri, kwa taarifa yako ufanye toba kwa maneno uliyoyaandika hapa najua yaumul qiyama utakuwa mas'ul kwa umenidhania na wala hunijui wala sikujui. Wewe na usheikh wako umeshindwa kuikomboa znz yako unapiga kelele tu huku jamii forum. Masheikh wetu wamekaa jela nyie wote mmeufyata ndio usheikh gani huo?