King'amuzi cha startimes leo ni balaa.

King'amuzi cha startimes leo ni balaa.

sabufa

Member
Joined
Apr 21, 2013
Posts
26
Reaction score
4
King'muzi changu cha startimes ,nimekuwa sikitumii mara kwa mara kutokana na picha kuganda sana.Lakini leo nilipokiwasha kinaonesha chanel za TING naendelea kufaidi.
 
how???
dadavuka mkuu

King'muzi changu cha startimes ,nimekuwa sikitumii mara kwa mara kutokana na picha kuganda sana.Lakini leo nilipokiwasha kinaonesha chanel za TING naendelea kufaidi.
 
King'muzi changu cha startimes ,nimekuwa sikitumii mara kwa mara kutokana na picha kuganda sana.Lakini leo nilipokiwasha kinaonesha chanel za TING naendelea kufaidi.

startimes bwana hawaeleki mie nilinunua mi Tv yao ile yenye king'amuzi ndani mwaka jana tu sina hamu,yaani ni ushuzi mtupu wa mchina!!kubabae zao.
 
Nazipata chanel za TING kama vile ATN,TBC1,SETANTA,ALJAZEERA,TBN,CHANEL TEN,CNN,MUVI TV AFRICA,ITV,K24,STARTV,EMMANUEL TV,COLORS na startimes guide ambayo ni ya kwao.
 
Nazipata chanel za TING kama vile ATN,TBC1,SETANTA,ALJAZEERA,TBN,CHANEL TEN,CNN,MUVI TV AFRICA,ITV,K24,STARTV,EMMANUEL TV,COLORS na startimes guide ambayo ni ya kwao.
Kimedata hicho c ajabu kikaanza kushika mpaka zile zingine zileee za ucku
 
Nazipata chanel za TING kama vile ATN,TBC1,SETANTA,ALJAZEERA,TBN,CHANEL TEN,CNN,MUVI TV AFRICA,ITV,K24,STARTV,EMMANUEL TV,COLORS na startimes guide ambayo ni ya kwao.

Hebu tuambie uko maeneo gani nasi tuvitie wazimu vya kwetu ili vije na mahoka yaTING,DIGITEK,CONTINENTAl na Vya "usiku"
 
Back
Top Bottom