mayayasilas
Member
- Jan 27, 2013
- 43
- 5
nilikuwa naish mwanza kwa kipindi kama miaka kadhaa, na sasa nimehamia Tabra na nmekuja na startimes yangu. Shida ambayo inakuja nikuwa nimefika huku hakionyeshi channel yoyote na nimeenda kwa mawakalaa wao hapa tabora wananiambia mpaka wanifanyie settings flani hivi na bei yake ni kama unanunua kipya.
Nilijaribu na kuwapigia simu customer care yao si nzuri kabisa, wakasema king'amuzi cha Mwanza hakiwezi kufanya kazi Tabora.
Kwa yoyote anayeweza kunipa msaada kwa hili nitashukuru sanaa maana almost wiki ya pili sasa sijui cha kufanya..
Nilijaribu na kuwapigia simu customer care yao si nzuri kabisa, wakasema king'amuzi cha Mwanza hakiwezi kufanya kazi Tabora.
Kwa yoyote anayeweza kunipa msaada kwa hili nitashukuru sanaa maana almost wiki ya pili sasa sijui cha kufanya..