Sajenti
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 3,651
- 414
Bandugu natumia hiki king'amuzi cha Continental kwa takribani miezi 4 sasa. Mwanzo kilikuw kinafanya kazi vizuri ingawa hapoati kilinizingua kidogo baadae ikwa safi, then ikaanza tabia ya picha na sauti kukatika katika na ujumbe wa "No signal. Lakini juzi ndio kimegoma kabisa no picha at all. Nimekwenda kwa wakala aliyeniuzia amekijaribu no picha. Na hii ni mara 2. Nanyie wenzangu mnaotumia hivi ving'amuzi mmeshakutana na hiyo kero? which is the best decoder apar from Dstv msuli wangu mdogo ku-maintain hiyo kiukweli. Duh!!.