Niambieni
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 625
- 171
Ni muda mrefu hapa dodoma tunapata shida ya kutumia huduma ya king'amuzi cha kichina cha continental.
Kinaonyesha picha hafifu za kutetemeka, na kibaya zaidi saa za jioni hakionyeshi kabisa.
Kama nilivyo eleza hapo juu ni muda mrefu kina goma kuonekana kabisa, na hata leo tarehe 13 september 2013toka asubui hadi sasa hivi hakionyeshi kabisa.
Hii ni inasupport kuwa vya bure vinagharama yake ingawa vinatangazwa sana ili watu wavinunue kwa wingi na kuona patupu.
Tumewasiliana na wahusika nao hawana majibu.
Kinaonyesha picha hafifu za kutetemeka, na kibaya zaidi saa za jioni hakionyeshi kabisa.
Kama nilivyo eleza hapo juu ni muda mrefu kina goma kuonekana kabisa, na hata leo tarehe 13 september 2013toka asubui hadi sasa hivi hakionyeshi kabisa.
Hii ni inasupport kuwa vya bure vinagharama yake ingawa vinatangazwa sana ili watu wavinunue kwa wingi na kuona patupu.
Tumewasiliana na wahusika nao hawana majibu.