Kingamuzi cha continantal wizi mtupu

Kingamuzi cha continantal wizi mtupu

LESIRIAMU

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2008
Posts
9,197
Reaction score
14,902
Jamani wadau heshima kwenu.
Nilinunua hiki kingamuzi hapa Arusha mara tu walipo kizindua. Lakini kati ya matatizo nilokaribisha nyumbani kwangu ni hiki ki takataka. Hakina mawasiliano ya uhakika. Najiuliza hawa TCRA wako maofini Dar tu wakisubiri mishahara au walipewa chochote na hii kampuni ili watuibie??
Nimewahi kwenda ofisi za hawa jamaa hapa Arusha pia hawana majibu
Nashauri kwa aliyekuwa na wazo la kununua hiki kingamuzi, atumie hela zake kwa mambo mengine.
 
Azam ndo mpango na channel zinaongezeka kila kukicha..fox na fx ndani...kazi kwenu digital za antenna..
 
He! pole! Umekomaje, inaonekana hujaamia digital chalii wangu!
 
Afadhali Umetujuza Mkuuu. Tatizo wanalazimisha kukiuza wakijua wapenzi wa StarTv/Tamthiliya watakinunua tu. Lakini upande wa pili wa Karata ni GARASA.

Pia mm nsingeshauri Mtu kununua hiki king'amuzi kwani hatopata thamani ya PESA aliyoitoa. Ni Bora ukanunua hata Startimes japo nao ni Majanga Matupu.
Labda nikupe list ya Ving'amuzi ambavyo vimepata SALUTE kubwa hapa Bongo

1.DSTV
2.AZAMTV
3.ZUKUTV
4.EASY TV
5.STAR TIMES
6.TING
7.Digitek
8.Continental
 
Nashukuru sana kwa taarifa.nilikuwa nawaza nikinunue.je ni kisimbuzi kipi naweza pata local channels bure bila kulazimika kununua kifurushi cha mwezi?ombi tafadhali.asante.
 
mkuu pole sana mi natumia Chanel za digitec kupitia hiyo continental iko poa. Ukisearch ziko kuanzia namba 1101 kuendelea
 
Back
Top Bottom