pole mkuu fanya hivi
Ukitaka ku Update software mpya kwenye Azam decoder bonyeza menu, kisha bonyeza 012 kupata menu ya pili, utaenda kwenye OTA kisha utabonyeza ok, juu kabisa kuna neno Update PID utaweka 8001 kwa chini kwenye frequency utaweka 11356 h 45000, kwenye lnb frequency utaweka 9750-10600 kisha utabonyeza ok
itajizima na kuwaka yenyewe kisha itafanya update .. usiizime hadi imalize