Kinga'amuzi chA DSTV kinauzwa

Kinga'amuzi chA DSTV kinauzwa

WENYELE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
1,461
Reaction score
1,546
Habari wakuu,naonzq king'amuzi cha DSTV kimenishinda gharama,nilikinunua Disemba 28 mwaka jana.Nipm kwa mawasiliano zaidi.Niko Bunju
 
Mkuu vumilia!
Bado miezi mi3 tu ligi zote zitaisha na utalipia kifurushi cha bomba 23500
Ni cha Tangazo la Diamond...kinataka kunifilisi mkuu...nilihadaiwa na kiofa cha krismas mkuu...Nimerudi Azam km kawaida tu
k
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom