sintalikwetu
Senior Member
- Jul 20, 2015
- 130
- 32
Labda angesema sasa hospitali zimetosha maana zimeenea, na mpango wake ni kuweka wauguzi kushauri watu wasiambukizwe zaidi. Sasa kusipokuwapo hosp watu watatibiwaje au magonjwa nayo anayafuta. Huyu ni kichaa tumemjua zamani yeye shida yake ni ikulu.
Tunampa urais Magufuli sio huyu mfano wa raisi. Na ni bora ukawa kwa sasa wanamwita rais maana hakuna muda mwingine katika maisha yake atakuja kuitwa rais. Kura yangu ni kwa Magufuli .
Tunampa urais Magufuli sio huyu mfano wa raisi. Na ni bora ukawa kwa sasa wanamwita rais maana hakuna muda mwingine katika maisha yake atakuja kuitwa rais. Kura yangu ni kwa Magufuli .