mKUU philip dominick Unashangaa Muhammad Ali kuwa na watoto wenye majina ya Kikristo? hushangai Baba wa Taifa Mwalim Nyerer watoto wake ni sisi Waislam na Wakristo? Kashangae baharini Shilingi inazama lakini Meli inaelea baharini mkuu amka wewe. Kuitwa Bab ni heshima sio watoto wake Orignal.
mKUU philip dominick Unashangaa Muhammad Ali kuwa na watoto wenye majina ya Kikristo? hushangai Baba wa Taifa Mwalim Nyerere watoto wake ni sisi Waislam na Wakristo? Kashangae baharini Shilingi inazama lakini Meli inaelea baharini mkuu amka wewe. Kuitwa Baba ni heshima sio watoto wake Orignal.