Zinafanya kazi, maana kuna jamaa yangu amekuja huko kwa ajili ya research na anaitumia bila matatizo. Kabla ya hapo alikuja na Kindle Touch 3G nayo ilifanya kazi zote bila shida. Mimi pia natarajia kuja nayo.Mimi ni Mtanzania, naombeni kuuliza kama kuna mtu anafahamu kama Kindle Fire zinazouzwa na Amazon zinaweza kufanya kazi Tanzania bila matatizo. Kama matatizo yapo ni yapi, je yanaweza kutatuliwa, kivipi?ninampango wa kuja TZ na kindle fire yangu sasa nisije beba kitu ambacho nyumbani hakifanyi kazi. Naombeni ushauri wataalamu.
Thanks.
Mimi ni Mtanzania, naombeni kuuliza kama kuna mtu anafahamu kama Kindle Fire zinazouzwa na Amazon zinaweza kufanya kazi Tanzania bila matatizo. Kama matatizo yapo ni yapi, je yanaweza kutatuliwa, kivipi?ninampango wa kuja TZ na kindle fire yangu sasa nisije beba kitu ambacho nyumbani hakifanyi kazi. Naombeni ushauri wataalamu.
Thanks.
You will not be able to purchase or stream music, videos, or apps when outside the U.S.
Inafanya kazi ila service za Amazon za kununua Muzic/Movies/Apps zinakuwa hazifanyi kazi.
Amazon.com Help: Traveling with Your Kindle Fire
Zinatumia mtandao WiFi connection kama utaweza kuunganisha mtandao sidhani kama utapata shida. Kama mwana jamvi alivyochangia, unaweza usiwezekupata 'Cloud Server" . Kwa kuwa ununuaji wa miziki,vitabu n.k v inatumia account yako ambayo inajitambulisha kwa e-mail address yako na billing details pia jaribu ku-access kwenye eneo lenye secure WiFi - Kuna kila sababu kwamba utafanikiwai. Good Luck!
Hawaangalie email tu, wanaangalia IP address yako, ukiwa nje ya marekani hauwezi kushusha digital content yoyote kutoka Amazon.