Computer science ni kati ya kozi rahisi sana kwani vitu vipo direct haviitaji uchambuzi sana wala ulinganifu kama masomo mengine mfano uchumi, sheria etc. Tatizo ni lile lile watanzania kuogopa Science. Pili ukiweza kusolve past papers (MADESA) za miaka 5 na kwa mfumo wetu wa semester lazima mitihani hutoka humo humo jinsi ilivyo. Hata hivyo kwa perfomance yake anastahili pongezi.
kama kweli hongera sana
Halafu kozi ya kompyuta sio sawa na Education wala fine arts ambayo niliisoma mimi.Yeye ni kinara wa kozi ya kompyuta na siyo vinginevyo. Lakini nampongeza kwa kufanya vizuri masomo yake. Tutegemee kuona anaongeza thamani na siyo kutuionyesha jinsi madesa yalivyo ya muhimu.
Computer science ni kati ya kozi rahisi sana kwani vitu vipo direct haviitaji uchambuzi sana wala ulinganifu kama masomo mengine mfano uchumi, sheria etc. Tatizo ni lile lile watanzania kuogopa Science. Pili ukiweza kusolve past papers (MADESA) za miaka 5 na kwa mfumo wetu wa semester lazima mitihani hutoka humo humo jinsi ilivyo. Hata hivyo kwa perfomance yake anastahili pongezi.
Sina hakika na chanzo cha habari yako, mimi ni moja ya wahitimu wa mwaka huu na aliyetangazwa mwanafunzi bora kwa maana ya GPA ni MARTIN CHEGELE. Huyu alikuwa Tanzania One form4 na mwaka 2007 alikuwa Tanzania one form 6. Labda kama huyo dada aliongoza kwa kozi yake na si chuo kizima mkuu.
HV MPAKA CHUO udsm WANADESA?
Hata mm nakumbuka hivyo Chegele ndio alieongoza mwaka wetu.
Nmpongeza sana Salome ila nimeshangaa huyo binti ameamua kufanya kazi sigara badala ya kufundisha
Hivi ni kwamba kila mwenye uwezo wa kufaulu ana uwezo wa kufundisha pia?
unakaribishwa MIT sasa uje upambane na hard core math na hi-tech studies!!