Ngandema Bwila
JF-Expert Member
- Sep 8, 2010
- 1,017
- 258
Kama Nchimbi, Sendeka na Shelukindomnaishi Tanzania mtakuwa mnajua jinsi majina ya viongozi wa ccm yanavyo tumikakupindisha sheria za nchi :
1) Mfanyakazi wandani (house girl) amewahi kuajiliwa hospitali ya Dodoma bila kufanyiwa usaliKisa alitumia jina la bosi wake aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dar e salaam marehemuDitopile
2) Bwana RobertKisena amewahi kumtwanga mtama OCD kituoni akiwakazini hakuna hatuaaliyochukuliwa kisa alikuwa mgombea wa CCM.
3) Kuna vijana wengiwanaotumia majina ya viongozi akiwemu Rais kutapeli wananchi, mfano kijanaaliyetaka kumtapeli Lowassa Iringa kwa kutumia jina la Lukuvi.
Ni vigumu sana kuamini kuwa kampuni na Jina la Kinana halikutumikakuwafumba macho maafisa wa forodha kuvusha pembe za ndovu na kuziita plastic
Nchimbi ulipaswa kuagiza vyombo vya dola kupata ukweli ni namna ganiJina la Kinana na kampuni yake vilitumika kuvusha nyara za Taifa hadi zikakamatwe China, iwekwa ridhaa yake au laa! Kinyume cha hilo unaonekana unajua ukweli zaidi ya huona unauficha kwa kiushia kuwatutajia watuhumiwa saba.
1) Mfanyakazi wandani (house girl) amewahi kuajiliwa hospitali ya Dodoma bila kufanyiwa usaliKisa alitumia jina la bosi wake aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dar e salaam marehemuDitopile
2) Bwana RobertKisena amewahi kumtwanga mtama OCD kituoni akiwakazini hakuna hatuaaliyochukuliwa kisa alikuwa mgombea wa CCM.
3) Kuna vijana wengiwanaotumia majina ya viongozi akiwemu Rais kutapeli wananchi, mfano kijanaaliyetaka kumtapeli Lowassa Iringa kwa kutumia jina la Lukuvi.
Ni vigumu sana kuamini kuwa kampuni na Jina la Kinana halikutumikakuwafumba macho maafisa wa forodha kuvusha pembe za ndovu na kuziita plastic
Nchimbi ulipaswa kuagiza vyombo vya dola kupata ukweli ni namna ganiJina la Kinana na kampuni yake vilitumika kuvusha nyara za Taifa hadi zikakamatwe China, iwekwa ridhaa yake au laa! Kinyume cha hilo unaonekana unajua ukweli zaidi ya huona unauficha kwa kiushia kuwatutajia watuhumiwa saba.