Kinana na watetezi wako mnaishi wapi?

Kinana na watetezi wako mnaishi wapi?

inasemekana hata epa yupo!duh!MAGAMBA JAMANI!!!!!!!!!!!!!!!!!!WE ACHA TU.
Inasemekana? Msigwa akisoma hii utasikia kesho analipuka nayo kuwa KINANA yuko kwenye Epa, tujitahidi kuchunga midomo yetu kwa sababu inaonekana hawa CDM hawana sera tena mbele ya wananchi wamebaki kutafuta umaarufu kupitia uzushi kama huu.
 
Hivi huyu waziri zipo kweli mbona anakingia vifua waizi wa mali za umma kama ushahidi upo siuachwe ufanye kazi
du nchi hii haki ya mungu mi naomba chadema tukiingia ikulu hawa watu tuwa chukulie serious action
 
Inasemekana? Msigwa akisoma hii utasikia kesho analipuka nayo kuwa KINANA yuko kwenye Epa, tujitahidi kuchunga midomo yetu kwa sababu inaonekana hawa CDM hawana sera tena mbele ya wananchi wamebaki kutafuta umaarufu kupitia uzushi kama huu.


Kama maccm wanavyotafuta umaarufu kwa kung'oa tembo meno. Period
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom