Kinana alipokutana na kagame

Kinana alipokutana na kagame

security guard

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2011
Posts
799
Reaction score
603
Z


[FONT=Arial,Helvetica,sans-serif]Rais Paul Kagame wa Rwanda akimkaribisha Katibu Mkuu wa CCM, Ndugu Abdulrahman Kinana katika mazungumzo yaliyofanyika hivi karibuni katika Hoteli ya Serena, Mjini Kigali Rwanda.[/FONT]

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana juzi alikutana na Rais wa Rwanda Paul Kagame mjini Kigali.
Kinana na Kagame walizungumza mambo mengi ikiwa pamoja na umoja na ushirikiano wa nchi mbili hizi.
 
Back
Top Bottom