Kinana ainyamazisha Mbeya, waahidi ushindi kwa CCM

TandaleOne

JF-Expert Member
Sep 4, 2010
1,644
709
Ni katika muendelezo wa Kampeni funga kazi ambapo Katibu Mkuu wa CCM Comrade Abdulrahman Kinana ameendelea na ziara yake katika Mikoa kumi ambapo jana na leo ni zamu ya Mkoa wa Mbeya na majimbo yake.

Akiwa katika ubora wake, Kinana amehutubia mkutano mkubwa wa hadhara katika Viwanja vya shule ya msingi Tunduma na kuwaeleza wananchi wa Tunduma kuwa Mgombea wa nafasi ya Urais kupitia CCM Dr John Pombe Magufuli ana uwezo mkubwa wa kuibadilisha Tannzania, kubadili mfumo wa chama na atakuwa na Baraza dogo la Mawaziri, atapunguza matumizi yasiyo ya lazima Serikalini na pia ataondoa kodi ndogo ndogo zinazowapa kero wananchi na kurahisisha njia za kufanya biashra kwa wananchi wa mipakani.

Pia Kinana amewasisitizia wananchi wa Mbeya kuwa sifa ya kwanza kuu ya Kiongozi bora ni UADILIFU, sifa ambayo katika wagombea wote wa Urais, ni Dr John Pombe Magufuli pekee ndie aliyekidhi sifa hiyo.

DSC_2996.JPG

Kinana akiwasili katika uwanja wa shule ya msingi Tunduma.

DSC_3035.JPG

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa mji wa Tunduma kwenye mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika kwenye uwanja wa shule ya msingi Tunduma.

DSC_3053.JPG

Wananchi wa Mbeya wakishangilia...

DSC_3089.JPG

Vijana wakiwa wamejitokeza kwa wingi katika mkutano huo wa Mzee Kinana.
 
hahaha eti ainyamazisha mbeya ....hivi unaijua tunduma vzuri weweee......ngoja lowasa anaenda huko kuanzia kesho utauona mziki wake ......mbeya ccm ilishajifia..ikipata majimbo 2 tu nahama nchiiiii..tuulize tuliopo hukuuuu

mbeya ya safari hii ni kuibadili toa upinzani weka ccm
 
hahaha eti ainyamazisha mbeya ....hivi unaijua tunduma vzuri weweee......ngoja lowasa anaenda huko kuanzia kesho utauona mziki wake ......mbeya ccm ilishajifia..ikipata majimbo 2 tu nahama nchiiiii..tuulize tuliopo hukuuuu
Dr John Pombe Magufuli ana uwezo mkubwa wa kuibadilisha Tannzania, kubadili mfumo wa chama na atakuwa na Baraza dogo la Mawaziri, atapunguza matumizi yasiyo ya lazima Serikalini na pia ataondoa kodi ndogo ndogo zinazowapa kero wananchi na kurahisisha njia za kufanya biashra kwa wananchi wa mipakani.
 
Amewaeleza kuhusu pembe za ndovu?
Dr John Pombe Magufuli ana uwezo mkubwa wa kuibadilisha Tannzania, kubadili mfumo wa chama na atakuwa na Baraza dogo la Mawaziri, atapunguza matumizi yasiyo ya lazima Serikalini na pia ataondoa kodi ndogo ndogo zinazowapa kero wananchi na kurahisisha njia za kufanya biashra kwa wananchi wa mipakani.
 
Hahahahaa...bwana Mwigulu aka Tandaleone..unafurahisha kweli..!!! eti "ainyamanzisha mbeya" hahhaa

"Pourojo" ukioa "Po" inabaki "urojo" hahah
 
Ni katika muendelezo wa Kampeni funga kazi ambapo Katibu Mkuu wa CCM Comrade Abdulrahman Kinana ameendelea na ziara yake katika Mikoa kumi ambapo jana na leo ni zamu ya Mkoa wa Mbeya na majimbo yake.

Akiwa katika ubora wake, Kinana amehutubia mkutano mkubwa wa hadhara katika Viwanja vya shule ya msingi Tunduma na kuwaeleza wananchi wa Tunduma kuwa Mgombea wa nafasi ya Urais kupitia CCM Dr John Pombe Magufuli ana uwezo mkubwa wa kuibadilisha Tannzania, kubadili mfumo wa chama na atakuwa na Baraza dogo la Mawaziri, atapunguza matumizi yasiyo ya lazima Serikalini na pia ataondoa kodi ndogo ndogo zinazowapa kero wananchi na kurahisisha njia za kufanya biashra kwa wananchi wa mipakani.

Pia Kinana amewasisitizia wananchi wa Mbeya kuwa sifa ya kwanza kuu ya Kiongozi bora ni UADILIFU, sifa ambayo katika wagombea wote wa Urais, ni Dr John Pombe Magufuli pekee ndie aliyekidhi sifa hiyo.

DSC_2996.JPG

Kinana akiwasili katika uwanja wa shule ya msingi Tunduma.

DSC_3035.JPG

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa mji wa Tunduma kwenye mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika kwenye uwanja wa shule ya msingi Tunduma.

DSC_3053.JPG

Wananchi wa Mbeya wakishangilia...

DSC_3089.JPG

Vijana wakiwa wamejitokeza kwa wingi katika mkutano huo wa Mzee Kinana.
Dr John Pombe Magufuli ana uwezo mkubwa wa kuibadilisha Tannzania, kubadili mfumo wa chama na atakuwa na Baraza dogo la Mawaziri, atapunguza matumizi yasiyo ya lazima Serikalini na pia ataondoa kodi ndogo ndogo zinazowapa kero wananchi na kurahisisha njia za kufanya biashra kwa wananchi wa mipakani.
 
Dr John Pombe Magufuli ana uwezo mkubwa wa kuibadilisha Tannzania, kubadili mfumo wa chama na atakuwa na Baraza dogo la Mawaziri, atapunguza matumizi yasiyo ya lazima Serikalini na pia ataondoa kodi ndogo ndogo zinazowapa kero wananchi na kurahisisha njia za kufanya biashra kwa wananchi wa mipakani.

Mfumo hauwezi kubadidlishwa na mtu mmoja. Kama ccm walikuwa wanayajua hayo; wangeshayafanyia kazi siku nyingi.
 
Mafisadi wapeni pole sana mwaka huu ni uchaguzi baina ya uadilifu na mafisadi kwahiyo watanzania tuamue kuchagua uadilifu au ufisadi.
 
Mfumo hauwezi kubadidlishwa na mtu mmoja. Kama ccm walikuwa wanayajua hayo; wangeshayafanyia kazi siku nyingi.

Lowasa ndiyo alikuwa tatizo na mafisadi wenzake kwakuwa wameshatoka sasa ccm ni njema sana.
 
Tunduma! Tunduma ninayoifaham mimi, au kuna tunduma nyingine lakini kama ni boda ya wajanja ccm haipo, ilishazikwa 2010 chezea wangine lakini sio tunduma
 
Lowasa ndiyo alikuwa tatizo na mafisadi wenzake kwakuwa wameshatoka sasa ccm ni njema sana.

Wekeni ushabiki wa kivyama pembeni, mimi na wewe tumeshazaliwa tupo hapa, hatuna muda mrefu tena. Tuangalie na kuwafikiria vitukuu vyetu huko mbele. Muarobani pekee wa kuiokoa hii nchi iweze kusimama kwenye misingi ni KATIBA iliyo bora tu; na si vinginevo. Hata umuweke malaika pale juu hakuna kitachobadilika. Ufisadi unafanyika kwa viwango tofauti kila mahali katika nchi yetu, idara zote za huduma zina uozo; hakuna mahali utapata huduma nzuri bila rupia.

Nchi haiwezi kuendelea kwa kuongozwa kwa matamko, au kwa kuunda tume kila kukicha; tume zinazotumia mamilioni ya walipa kodi. Na kibaya Zaidi matokeo ya tume Rais ana hiari ya kuyafanyia kazi au kuyaweka kapuni. kama yalivowekwa kapuni matokeo lukuki.

Angalieni nani atawapa katiba bora, tukishapata katiba; miaka mitano siyo mingi tunamuweka pembeni tunaangalia anaetufaa.
 
Dr John Pombe Magufuli ana uwezo mkubwa wa kuibadilisha Tannzania, kubadili mfumo wa chama na atakuwa na Baraza dogo la Mawaziri, atapunguza matumizi yasiyo ya lazima Serikalini na pia ataondoa kodi ndogo ndogo zinazowapa kero wananchi na kurahisisha njia za kufanya biashra kwa wananchi wa mipakani.

Ni hivyo hivyo tulivyoaminishwa kuwa kikwete ataifikisha Tanzania kwenye maisha bora.Matokeo yake nchi ikazamishwa kwenye umasikini na ufukara!
 
Back
Top Bottom