Moses Ngelime
Member
- Sep 5, 2018
- 29
- 19
Message…napenda kujua kinaendelea nini mpaka muda uhuu kwa wale WA multiple Walio fanya confirmation Tayar na ambao wamewasiliana na vyuo husika. Mana udahili awamu ya pili umefungulia ila hatima ya wale WA multiple mpaka Sasa awajulikani wapo kundi gani either first batch au laah kuna baadhi mpaka Leo ukiingia kwenye account zao za oas wameandikiwa bango LA multiple bado lipo Wakat muda wake ulisha isha. Kwel TCU Amko Seriously watu watapata tabu sana