Kinadada week end hii na nyie lipeni bill

Kinadada week end hii na nyie lipeni bill

jembe afrika

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2014
Posts
7,602
Reaction score
3,781
Ukisikia siku za stress kwa wanaume mjini ni wiki end inapofika aisee kina dada utasikia nataka kwenda saloon,ooh nirushie vocha,mara lunch,ikija bill anatambua macho kama kiboko au mamba.Halafu unamlainisha kwa kumwita honey,dear,baby.kwendaaaaa.
 
Si wengine hatutokagi hizo wikiend zenu!!!kula bata tumia mapene yakuzoeeee
 
Ukisikia siku za stress kwa wanaume mjini ni wiki end inapofika aisee kina dada utasikia nataka kwenda saloon,ooh nirushie vocha,mara lunch,ikija bill anatambua macho kama kiboko au mamba.Halafu unamlainisha kwa kumwita honey,dear,baby.kwendaaaaa.

Dogo huwa unafanya w/end tu hii makitu?
 
Huwezi acha...!

Wenzio wanaona fahari kuwahudumia wanawake wanao wapenda..!

Kama vipi ingia tuu ubia na kiwanda cha sabuni, hiyo ndio itakuwa salama yako..! Lol
 
Dogo huwa unafanya w/end tu hii makitu?

inaonekana anaipata week end tu ndiyo maana wakati faranga hazitoshi kwa mfuko. ushauri wa bure anunue za wachina kupunguza matumizi, Eiyer, unaonaje hii
 
Last edited by a moderator:
Huwezi acha...!

Wenzio wanaona fahari kuwahudumia wanawake wanao wapenda..!

Kama vipi ingia tuu ubia na kiwanda cha sabuni, hiyo ndio itakuwa salama yako..! Lol

wachina kariakoo hawajafukuzwa, akanunue tuu
 
kweeeenda wewe usiyejielewa ... si umwache tu,... mapaja meusi yamekushinda rudi bongo
 
inaonekana anaipata week end tu ndiyo maana wakati faranga hazitoshi kwa mfuko. ushauri wa bure anunue za wachina kupunguza matumizi, Eiyer, unaonaje hii

Ushauri mzuri huo huyo dogo aufuate utamsaidia!
 
Huwezi acha...!

Wenzio wanaona fahari kuwahudumia wanawake wanao wapenda..!

Kama vipi ingia tuu ubia na kiwanda cha sabuni, hiyo ndio itakuwa salama yako..! Lol
Neylu ......!!!!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
na bado hela ya lace wig, kucha, shopping shear illussions na mr.price...utajijuuu..unadhani kuna vya bure..ndo ukubwaa huoo
 
Ukisikia siku za stress kwa wanaume mjini ni wiki end inapofika aisee kina dada utasikia nataka kwenda saloon,ooh nirushie vocha,mara lunch,ikija bill anatambua macho kama kiboko au mamba.Halafu unamlainisha kwa kumwita honey,dear,baby.kwendaaaaa.


Siye tunalipa bill kwa bed bhana,we ni vipi aysee. Ukiambiwa upige push up mwenyewe unaishia tano, ukiwa juu ya kifua cha baby wapiga infinite push up (We call it Push up with motivation). So weh lipa tu ni halali yako.
 
Siye tunalipa bill kwa bed bhana,we ni vipi aysee. Ukiambiwa upige push up mwenyewe unaishia tano, ukiwa juu ya kifua cha baby wapiga infinite push up (We call it Push up with motivation). So weh lipa tu ni halali yako.

si tunafaidi wote.
 
Back
Top Bottom