Kinachommaliza Rais Magufuli si kingine ila ni ubishi na dharau kwa wananchi wake pamoja na upendeleo!!!!

Ushauri unaweza kuwa katika mfumo wa maoni na mapendekezo....waelewa hawapati tabu katika hilo.
Kuna jinsi ya kutolewa.Rudi shule ukasome vizur kuhusu ushaur,Huwez mfuata Rais ofisini kwake au ukatumia taratibu husika za kutoa ushur then akaja akasema unawashwa washwa.Ila kama unatoa ushaur kwa kupata kiki za kisiasa basi jiandae kujibiwa kisiasa.Lowasa na jpm waliongea mengi sana na hatujui waliongea nn lkn kwa sasa lowasa baada ya kufanya follow up anauwezo wa kusema jpm ashauriki au lah.

Moja ya vitu muhim ktk maswala ya counselling ni confidentiality na ktk hili pia unapata wasaa wa kumsikiliza client nini maoni yake au kwanini anafanya vile kwa kile anachofanya.Sio wewe au hao bavicha washawahi pata nafasi ya kuhoji direct kwa jpm kwanini hiki kinaenda hiv na kisiwe hivi.Hamnaga ushauri ambao counselor anaongea yy tu na kumtaka client afuate mambo yake.Nami nakubaliana na majibu yake kwamba hapangiwi na wanawashwa washwa na naamini hao wanaowashwa washwa wangetumia njia sahihi wasingejibiwa hivo.

Mfano ishu ya lisu kushauri kuhusu makinikia,kama asingekua anatafuta kiki za kisiasa kuna ofisi ya mwanasheria mkuu,waziri wa madini yani ofisi nyingi tu nje ya Rais angeenda huko kutoa ushaur na baada ya hapo angeona je alichoshaur kimefanyika au lah na uenda huko angepewa ABC za maamuz wanayoyafanya.Sasa huu ujuaji kisa tu ukubaliani na kinachofanyika unaita vyombo vya habar unaanza kejeli,dhihaka na maneno machafu na mwisho unaita USHAURI.Kwa wasioenda shule watasema ni ushaur lkn sio kweli,hizi ni kiki tu za kisiasa kwa mgongo wa kushauri.
 
Wakuu!!
siandiki na sisemi hivi kwa sababu za kisiasa ama kwa hakika sina chuki kwa Rais Magufuli but, penye uhitaji wa ukweli, Lazima tuuuseme bila kupepesa macho na vidole.

Kiukweli Rais Magufuli anadharau sana wananchi wake na pia amekuwa mbishi kupitiliza (hasikiliza wala hafanyii kazi ushauri na malalamiko yao) kama ameweka pamba masikioni basi ni zile pamba zenye Bubble gum ndani yake.

Rais anapopewa ushauri anatamka waziwazi kuwa "Sipangiwi"..kiukweli huu ni utovu wa nidhamu, ubishi na kukosa busara. Najua wengi wa wapendwa wetu huko majumbani kwetu walikumbwa na ile tumbuatumbua ya vyeti feki ambayo ilileta balaa na majonzi makubwa (wengine walipata presha na kupoteza maisha).

Pengine hili la vyeti feki tukifuata sheria na maadili ya nchi, tunaweza kumsamehe ama kutomlaumu sana lakini kituko zaidi alichofanya, ni pale alipoamua kubishana na wananchi wake juu ya vyeti na majina feki ya Daudi Albert Bashite (kwa sasa anajiita Paul Makonda), rais magufuli alimtetea Bwana Bashite kwa kila hali huku akitumia kigezo cha uchapa kazi wake.

Hapa ndipo ile kauli yake ya "sipangiwi" ilipojidhihirisha zaidi sambamba na upendeleo wake kwa baadhi ya watumishi. Hii ilipelekea maswali na fikra nyingi kwa Wananchi wakimtuhumu Rais kwa upendeleo.(hapa ishu ya Makontena sitaijadili maana kila mtu anafahamu madudu yake yote Na ndipo upendeleo wa Magufuli kwa Makonda ulipojidhihirisha kwani hakuna hatua stahiki zozote zilizochukuliwa dhidi ya "uhujumu uchumi" wa Bw. Makonda.)

Suala la ahadi zake wakati wa kampeni (mwaka 2015) na utekelezaji wake ni vitu viwili tofauti kabisa..... Rais aliwahadaa Watanzania kipindi cha kampeni....asilimia kubwa ya ahadi zake ni hewa na hajazitekeleza na hana mpango huo.(hii dharau kubwa sana kwa wapiga kura wake) Zi wapi Milioni 50 kila kijiji? Ziwapi Laptop za waalimu? Leo hii mtu huyo ni wa kumwamini tena? Leo hii kuna miradi mikubwa inayojengwa, lakini swali ni je, hiyo ndiyo iliyokuwa kipaumbe chake?

Kiukweli Inachosha sana...uvumilivu umefikia ukingoni.
Hamna MWANASIASA yeyote DUNIANI kuanzia Marekani, ULAYA na mpaka hapa Afrika ambaye amewahi KUTIMIZA ahadi zake zote 100% alizoahidi wakati wa Kampeni za uchaguzi.

Siasa ni UDANGANYIFU ULIOKARABATIWA!!.
UkIIiekewa hilo hutaMlaimu MWANASIASA yeyore mkuu.
Hamna mwmana siasa MZURI they are all the same!
 
Kuna jinsi ya kutolewa.Rudi shule ukasome vizur kuhusu ushaur,Huwez mfuata Rais ofisini kwake au ukatumia taratibu husika za kutoa ushur then akaja akasema unawashwa washwa.Ila kama unatoa ushaur kwa kupata kiki za kisiasa basi jiandae kujibiwa kisiasa.Lowasa na jpm waliongea mengi sana na hatujui waliongea nn lkn kwa sasa lowasa baada ya kufanya follow up anauwezo wa kusema jpm ashauriki au lah.

Moja ya vitu muhim ktk maswala ya counselling ni confidentiality na ktk hili pia unapata wasaa wa kumsikiliza client nini maoni yake au kwanini anafanya vile kwa kile anachofanya.Sio wewe au hao bavicha washawahi pata nafasi ya kuhoji direct kwa jpm kwanini hiki kinaenda hiv na kisiwe hivi.Hamnaga ushauri ambao counselor anaongea yy tu na kumtaka client afuate mambo yake.Nami nakubaliana na majibu yake kwamba hapangiwi na wanawashwa washwa na naamini hao wanaowashwa washwa wangetumia njia sahihi wasingejibiwa hivo.

Mfano ishu ya lisu kushauri kuhusu makinikia,kama asingekua anatafuta kiki za kisiasa kuna ofisi ya mwanasheria mkuu,waziri wa madini yani ofisi nyingi tu nje ya Rais angeenda huko kutoa ushaur na baada ya hapo angeona je alichoshaur kimefanyika au lah na uenda huko angepewa ABC za maamuz wanayoyafanya.Sasa huu ujuaji kisa tu ukubaliani na kinachofanyika unaita vyombo vya habar unaanza kejeli,dhihaka na maneno machafu na mwisho unaita USHAURI.Kwa wasioenda shule watasema ni ushaur lkn sio kweli,hizi ni kiki tu za kisiasa kwa mgongo wa kushauri.
umeandika maneno meengi lakini content ni zero....je huo ushauri unaomaanisha wewe hapewi? Na kama anapewa, je haya madudu tunayoyashuhudia ndio matokeo ya huo ushauri unaomaanisha wewe? acha kupotosha ukweli ndugu yangu just be humble!!
 
Huna hoja
Blah blah ulizoleta tumezizoea.. mgazeti wote nilifikiri utaandika jipya kama ulimuona ukamshauri kama mwananchi akakudisi..

Jioneee aibu..
 
Wakuu!!
siandiki na sisemi hivi kwa sababu za kisiasa ama kwa hakika sina chuki kwa Rais Magufuli but, penye uhitaji wa ukweli, Lazima tuuuseme bila kupepesa macho na vidole.

Kiukweli Rais Magufuli anadharau sana wananchi wake na pia amekuwa mbishi kupitiliza (hasikiliza wala hafanyii kazi ushauri na malalamiko yao) kama ameweka pamba masikioni basi ni zile pamba zenye Bubble gum ndani yake.

Rais anapopewa ushauri anatamka waziwazi kuwa "Sipangiwi"..kiukweli huu ni utovu wa nidhamu, ubishi na kukosa busara. Najua wengi wa wapendwa wetu huko majumbani kwetu walikumbwa na ile tumbuatumbua ya vyeti feki ambayo ilileta balaa na majonzi makubwa (wengine walipata presha na kupoteza maisha).

Pengine hili la vyeti feki tukifuata sheria na maadili ya nchi, tunaweza kumsamehe ama kutomlaumu sana lakini kituko zaidi alichofanya, ni pale alipoamua kubishana na wananchi wake juu ya vyeti na majina feki ya Daudi Albert Bashite (kwa sasa anajiita Paul Makonda), rais magufuli alimtetea Bwana Bashite kwa kila hali huku akitumia kigezo cha uchapa kazi wake.

Hapa ndipo ile kauli yake ya "sipangiwi" ilipojidhihirisha zaidi sambamba na upendeleo wake kwa baadhi ya watumishi. Hii ilipelekea maswali na fikra nyingi kwa Wananchi wakimtuhumu Rais kwa upendeleo.(hapa ishu ya Makontena sitaijadili maana kila mtu anafahamu madudu yake yote Na ndipo upendeleo wa Magufuli kwa Makonda ulipojidhihirisha kwani hakuna hatua stahiki zozote zilizochukuliwa dhidi ya "uhujumu uchumi" wa Bw. Makonda.)

Suala la ahadi zake wakati wa kampeni (mwaka 2015) na utekelezaji wake ni vitu viwili tofauti kabisa..... Rais aliwahadaa Watanzania kipindi cha kampeni....asilimia kubwa ya ahadi zake ni hewa na hajazitekeleza na hana mpango huo.(hii dharau kubwa sana kwa wapiga kura wake) Zi wapi Milioni 50 kila kijiji? Ziwapi Laptop za waalimu? Leo hii mtu huyo ni wa kumwamini tena? Leo hii kuna miradi mikubwa inayojengwa, lakini swali ni je, hiyo ndiyo iliyokuwa kipaumbe chake?

Kiukweli Inachosha sana...uvumilivu umefikia ukingoni.
Mnajidhalilisha kwa kupost upuuzi. Nothing new, ni malalamiko yasiyo na mashiko.
 
Kuna jinsi ya kutolewa.Rudi shule ukasome vizur kuhusu ushaur,Huwez mfuata Rais ofisini kwake au ukatumia taratibu husika za kutoa ushur then akaja akasema unawashwa washwa.Ila kama unatoa ushaur kwa kupata kiki za kisiasa basi jiandae kujibiwa kisiasa.Lowasa na jpm waliongea mengi sana na hatujui waliongea nn lkn kwa sasa lowasa baada ya kufanya follow up anauwezo wa kusema jpm ashauriki au lah.

Moja ya vitu muhim ktk maswala ya counselling ni confidentiality na ktk hili pia unapata wasaa wa kumsikiliza client nini maoni yake au kwanini anafanya vile kwa kile anachofanya.Sio wewe au hao bavicha washawahi pata nafasi ya kuhoji direct kwa jpm kwanini hiki kinaenda hiv na kisiwe hivi.Hamnaga ushauri ambao counselor anaongea yy tu na kumtaka client afuate mambo yake.Nami nakubaliana na majibu yake kwamba hapangiwi na wanawashwa washwa na naamini hao wanaowashwa washwa wangetumia njia sahihi wasingejibiwa hivo.

Mfano ishu ya lisu kushauri kuhusu makinikia,kama asingekua anatafuta kiki za kisiasa kuna ofisi ya mwanasheria mkuu,waziri wa madini yani ofisi nyingi tu nje ya Rais angeenda huko kutoa ushaur na baada ya hapo angeona je alichoshaur kimefanyika au lah na uenda huko angepewa ABC za maamuz wanayoyafanya.Sasa huu ujuaji kisa tu ukubaliani na kinachofanyika unaita vyombo vya habar unaanza kejeli,dhihaka na maneno machafu na mwisho unaita USHAURI.Kwa wasioenda shule watasema ni ushaur lkn sio kweli,hizi ni kiki tu za kisiasa kwa mgongo wa kushauri.
Maandishi meeeeengi lakini uozo mtupu , hivi unataka kiongozi aliyechaguliwa na wananchi abembelezwe ili iweje ? Very poor !
 
Hamna MWANASIASA yeyote DUNIANI kuanzia Marekani, ULAYA na mpaka hapa Afrika ambaye amewahi KUTIMIZA ahadi zake zote 100% alizoahidi wakati wa Kampeni za uchaguzi.

Siasa ni UDANGANYIFU ULIOKARABATIWA!!.
UkIIiekewa hilo hutaMlaimu MWANASIASA yeyore mkuu.
Hamna mwmana siasa MZURI they are all the same!
hilo ni shambulio la Aibu kwa wananchi
 
umeandika maneno meengi lakini content ni zero....je huo ushauri unaomaanisha wewe hapewi? Na kama anapewa, je haya madudu tunayoyashuhudia ndio matokeo ya huo ushauri unaomaanisha wewe? acha kupotosha ukweli ndugu yangu just be humble!!
Sio lzm uone content coz bado unauhuru wa kuufanya ubongo wako usione content.Kila kitu kinamapungufu yake hata ushauriwe na nani.So mattz yanayotokea haina maana kwamba ushaur anaopewa ni mbovu au huwa hafuati ushauri.Kila jambo linaside B yake na hatujui tuseme ushauri ingawa sio ushauri,je nini kingetokea kama serikal ingefuata aliyokuwa anasema lisu?Je mawazo yake yalikuwa sahihi 100%?
 
Sio lzm uone content coz bado unauhuru wa kuufanya ubongo wako usione content.Kila kitu kinamapungufu yake hata ushauriwe na nani.So mattz yanayotokea haina maana kwamba ushaur anaopewa ni mbovu au huwa hafuati ushauri.Kila jambo linaside B yake na hatujui tuseme ushauri ingawa sio ushauri,je nini kingetokea kama serikal ingefuata aliyokuwa anasema lisu?Je mawazo yake yalikuwa sahihi 100%?
Kwa hiyo wewe unamaanisha kila mwananchi mwenye ushauri aende ikulu akaonane na rais? Are You serious? 55 million people wamfuate rais individually? Ndio maana kuna wawakilishi kama wabunge na madiwani wote hao wanafanya kazi on behalf of many. So mawazo na ushauri wao ni wa wengi haijalishi kaandika gazetini, kaandika barua ama kauwasilisha kwa kuimba taarabu.
 
Maandishi meeeeengi lakini uozo mtupu , hivi unataka kiongozi aliyechaguliwa na wananchi abembelezwe ili iweje ? Very poor !
Kwahiyo kama umemchagua ndio unauhuru wa kukejeli,kudhihaki na maneno machafu kwa mgongo wa maoni au ushauri?Kila kitu kina taratibu zake na hata ingekua ni cdm inaongoza nchi ingekua na taratibu zake za kupokea maoni au ushaur kwa wananchi.Sio leo ccm hawamtak kiongoz flan kwa sababu zao za kisiasa basi Lowasa angekua Rais amtumbue.Shida ni kulifanya genge lenu ndio maoni ya watanzania wote na haishangaz kitu wasichotaka bavicha kusikia wakisema ooh watanzania hawataki.Kama kuna wanaompinga jpm basi ujue kuna wanaomkubali na hakuna kundi muhim kuliko lenzie na muhim kila kundi ni kufuata taratibu
 
Back
Top Bottom