kilimbamula
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 1,792
- 855
Wanapewa mbinu ya kuwatukana Polisi, wazee na viongozi. Hamna kitu humo.
HABARI AFRIKA: Ongera vijana mliobeba matumaini ya bara la Afrika Mungu wa mbinguni hawape nguvu katika harakati za ukombozi. BAVICHA well done.
Wanapewa mbinu ya kuwatukana Polisi, wazee na viongozi. Hamna kitu humo.
Inaogopesha upande wa pili kule kwa kijani, maana akina mama ndo huwa wanpewa vitenge na vilemba kwa wingi
Mnyika amewahonga sh. ngapi hao wamama mpaka wameacha shughuli zao,wakaja kumsikiliza akimwaga pumba