Kinachojiri: Kongamano la BAWACHA Ubungo, Dar

Kinachojiri: Kongamano la BAWACHA Ubungo, Dar

Joseph Mshinga

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2014
Posts
232
Reaction score
143
Nawaletea LIVE UPDATE za kongamano la BAWACHA JIMBO LA UBUNGO kutoka ukumbi wa LANDMARK HOTEL JIJINI DAR ES SALAAM.

Wakina mama wa Ubungo wanaendelea kuingia.

Huu ni mwanzo tu wa mikakati ya kuhakikisha CHADEMA INASHINDA kata zote na kuweka madiwani wa CHADEMA. Mkakati huu ni mwanzo tu wa mikakati ya kuindoa kabisa CCM katika jiji la DAR ES SALAAM.

Tumedhamiria.

MKUTANO UNAFUNGULIWA KWA SALA NA HAPA NI VIONGOZI
IMG_20150607_132433.jpg

WAKINAMAMA WALIOHUDHURIA KONGAMANO
IMG_20150607_132541.jpg
IMG_20150607_124629.jpg

KIKUNDI CHA MUZIKI G5 (4C M4C) kinatoa burudani kwa sasa wakati wageni rasmi wa kongamano wakisubirwa.
burudani.jpg
JOHN MNYIKA AKISHANGILIWA NA WANAWAKE WA JIMBO LA UBUNGO.
bawacha1.jpg

WANAWAKE WA UBUNGO WAMBEBA JUU JUU MBUNGE WAO KIPENZI na kumrusha rusha kwa furaha.
bawacha2.jpg

TUKUTANE OCTOBER. NAPE NA ZITTO HAWAKUKOSEA KULIKIMBIA JIMBO LA UBUNGO MAANA WANAJUA MAJI YA UBUNGO NI MAREFU
 
kiongozi nakushukuru sana , kama akina mama wa Dar es salaam wameamka namna ni wazi ccm chali octoba .
 
Mgeni rasmi john mnyika anaongea na akina mama.

anawaambia kama 2010 tukiwa na akina mama wachache sana tuliishida CCM ubunge na madiwani 6 katika Jumla ya kata 14. sasa anauhakika kuwa CCM itashindwa katika kata zote kwa hamasa hii kubwa sana ya wanawake.

pia anawaambia.
"kuna watu wanahoji nitagombea jimbo gani baada ya kugawanywa, nachotaka niwaambie ni kwamba mimi na wenzangu tunamwlekeza nguvu kubwa na sawa kata zote 14 ili hata jimbo litagawanywa bila kujali nitagombea wapi bali tutaishinda vibaya CCM katika majimbo yote hayo mawili." mwisho wa kunukuu.
 
Makamanda wakipata elimu juu ya BVR iliwaakikishe kila mwanamke anajitokeza kujiandikisha. Hii ndo silaha ya kuwatoa magamba.Picha zaidi zinakija
 

Attachments

  • 20150607_1556526070.jpg
    20150607_1556526070.jpg
    57.3 KB · Views: 582
  • 20150607_1559145591.jpg
    20150607_1559145591.jpg
    55.1 KB · Views: 522
mnyika anarejea jinsi ambavyo wagombea wengi wa CCM katika nafasi ya URAIS wamekuwa mawaziri wa maji jiji la DAR ES SALAAM na hakuna hata mmona aliyeweza kutatua tatizo la maji katima jiji la DAR ES SALAAM.

1.ananza na EDWARD LOWASSA.
anasema lowassa analivunja mkataba wa city water lakini nae akaingia mkataba mbovu kama huo wa CITY WATER ambao ilikuwa kati ya DAWASSA NA DAWASCO. ubovu wa mkataba alioingia LOWASSA akiwa waziri wa maji umesababisha mpaka leo matatizo makubwa ya maji na kushindikana kwa kupatikana kwa ufumbuzi.


2.STEVEN WASRA.
wasra naye amewahi kuwa waziri wa maji. naye alionyesha udhaifu mkubwa katika utendaji na alishindwa kutatua tatizo la maji.

ANAWAAMBIA AKINA MAMA kuwa pamoja na kwamba hali ya upatikanaji wa maji imekuwa nafuu katika baadhi ya maeneo lakini SULUHISHO LA SASA NI KUIKATAA CCM YOTE. si diwani, si mbunge ama mgombea urais wa CCM atakaestahili kura kwa hili. Tuikatae ccm ili tuingie wenyewe kwenye usukani.


ANATAOA MSIMAMO WAKE KUHUSU MAFAO MAPYA YA WABUNGE YANAYOJADILIWA.

mnyika anasema kwa mujibu wa sheria mafao yanayopendekezwa yapo kinyume cha sheria kwa sababu yanazidi kiwango cha sheria.

na yeye anasema, mwenye mamlaka ya kuidhinisha malipo ni rais. na kama rais akivunja sheria yeye hatachukua ongezeko hilo bali atazirudisha fedha kwa kuwapa wakina mama na vijana walio katika vikundi mbalimbali
 
Tunashukuru angalau kwa kupata matukio yote angalau kwa kupitia hapa jf,maana tv stations zote zimelipiwa na viongozi walio na mafedha wa ccm kwa ajili tu ya kutangaza nia ya kuwania urais.
 
samahani wakuu, naomba briefing ya viwango vipya vya mafao ya wabunge. anayefahamu vya mwanzo na vinavyopendekezwa anisaidie elimu hiyo tafadhali.
 
mnyika anarejea jinsi ambavyo wagombea wengi wa CCM katika nafasi ya URAIS wamekuwa mawaziri wa maji jiji la DAR ES SALAAM na hakuna hata mmona aliyeweza kutatua tatizo la maji katima jiji la DAR ES SALAAM.

1.ananza na EDWARD LOWASSA.
anasema lowassa analivunja mkataba wa city water lakini nae akaingia mkataba mbovu kama huo wa CITY WATER ambao ilikuwa kati ya DAWASSA NA DAWASCO. ubovu wa mkataba alioingia LOWASSA akiwa waziri wa maji umesababisha mpaka leo matatizo makubwa ya maji na kushindikana kwa kupatikana kwa ufumbuzi.


2.STEVEN WASRA.
wasra naye amewahi kuwa waziri wa maji. naye alionyesha udhaifu mkubwa katika utendaji na alishindwa kutatua tatizo la maji.

ANAWAAMBIA AKINA MAMA kuwa pamoja na kwamba hali ya upatikanaji wa maji imekuwa nafuu katika baadhi ya maeneo lakini SULUHISHO LA SASA NI KUIKATAA CCM YOTE. si diwani, si mbunge ama mgombea urais wa CCM atakaestahili kura kwa hili. Tuikatae ccm ili tuingie wenyewe kwenye usukani.


ANATAOA MSIMAMO WAKE KUHUSU MAFAO MAPYA YA WABUNGE YANAYOJADILIWA.

mnyika anasema kwa mujibu wa sheria mafao yanayopendekezwa yapo kinyume cha sheria kwa sababu yanazidi kiwango cha sheria.

na yeye anasema, mwenye mamlaka ya kuidhinisha malipo ni rais. na kama rais akivunja sheria yeye hatachukua ongezeko hilo bali atazirudisha fedha kwa kuwapa wakina mama na vijana walio katika vikundi mbalimbali

Huu ni unafiki sasa mnyika anatuletea mbona posho walikubaliana wasi wasichukue leo hii anachukua ama kwa vile ni mwaka wa uchaguzi
 
Huu ni unafiki sasa mnyika anatuletea mbona posho walikubaliana wasi wasichukue leo hii anachukua ama kwa vile ni mwaka wa uchaguzi

mkuu una macho kweli? ama una macho ila hayoni vyema? ama hujui kusoma.

ni wapi nimeandika posho?

ama ulikurupuka tu na kukimbilia kujadili posho.

si lazima kujidharirisha kwa kiwango hiki hata kama hatukujui. ni vyema usingechangia kabisa kuliko ulichoandika.
 
Mnyika amewahonga sh. ngapi hao wamama mpaka wameacha shughuli zao,wakaja kumsikiliza akimwaga pumba
 
Mnyika amewahonga sh. ngapi hao wamama mpaka wameacha shughuli zao,wakaja kumsikiliza akimwaga pumba

Makongoro Nyerere"Rais Kikwete kazungukwa na VIBAKA."

Mnyika hayupo kwenye chama cha vibaka.

ni CCM pekee ambacho ni chama cha VIBAKA ndio wanawalipa watu na kuwasafirisha kwenda kwenye mikutano.

mwaka huu akina mama ubungo ndio Jeshi kubwa la kuhakikisha CCM haipati hata diwani mmoja na wanaingia front kupambana.
 
Mnyika amewahonga sh. ngapi hao wamama mpaka wameacha shughuli zao,wakaja kumsikiliza akimwaga pumba

Eti kwa bahat mbaya ama nzuri siku moja mimkute wife kahudhuria hio saccos, atanokoma siku hiyo ntapigisha kichura chura na talaka juuu
 
kiongozi nakushukuru sana , kama akina mama wa Dar es salaam wameamka namna ni wazi ccm chali octoba .

mwisho wa siku ilikuwa kama hapo juu kwa ushahidi wa picha.

CCM wanaofikiria kugombea ubungo wameingilia mlango wa kutokea.
 
Mnyika amewahonga sh. ngapi hao wamama mpaka wameacha shughuli zao,wakaja kumsikiliza akimwaga pumba

njoo ushuhudie kama sisiemu mtapata kitu mwaka huu. hata kata moja ubungo hampati. wanawake wa ubungo washaamua kuwa huyu ndio mbunge wao basi.
 
Back
Top Bottom