Power G
JF-Expert Member
- Apr 20, 2011
- 3,887
- 1,193
Wasira ukoma ulishamvuruga ubongo. Ni mtu wa kuhurumiwa tu.wasira alirema nasary alinyimwa na wazazi wake baraka za kugombea arumeru,baba yake kasimama amejitambulisha kua yeye ni mchungaji na kumsifia mtoto wake nasary kua hakuwahi kufanya ukorofi wowote toka ameanza shule mpaka hapa alipo leo.wasira anapata wapi fake detail za hawa watu?