Kinachoendelea vyuo vikuu ni ujumbe tosha kwa LOWASSA 2015…!

Kinachoendelea vyuo vikuu ni ujumbe tosha kwa LOWASSA 2015…!

Mhe. AJAYE

Member
Joined
Dec 20, 2013
Posts
32
Reaction score
6
Pole sana Mhe. LOWASSA kwa harakati zako za kusaka URAIS 2015….! Ndg zangu, juzi nilitembelea Mji wa Dodoma, hakuna asiyefahamu jinsi mji ule ulivyojariwa na kuwa na vyuo vikuu vingi (Eg. UDOM, MIPANGO, ST JOHN na CBE), nilijaribu na nilifanikiwa kufanya mahojiano na baadhi ya wanavyuo toka CBE na UDOM kuhusu mwelekeo wa siasa za Tz na KATIBA MPYA kuelekea 2015.

Mazungumzo yetu yalijikita ktk SIASA na chaguzi za VYUO VIKUU na mchango wake kuelekea 2015, tulijikita hasa vyuo vya UDOM na CBE, CBE walishamalizika uchaguzi na mshindi kupatikana, Chaguzi za UDOM bado zinaendelea, na kwa taarifa za wasemaji wangu, UDOM watapiga kura tar 19 na 20.. Kwa mujibu wa wasemaji wangu, chaguzi za UDOM na CBE zimegubikwa na makundi ya vyama na wanasiasa wasaka URAIS 2015, lipo kundi la Mhe. LOWASSA, Mhe MEMBE na Wale wa mlengwa wa KUSHOTO (CHADEMA) na kwa kiasi kidogo sana akina JANUARY na SITTA wamejaribu kujipenyeza kwenye hizi chaguzi, ila kwa mujibu wa reporters wangu inaonyesha hali ni ngumu sana kwa Ndg LOWASSA, bila kujali PESA nyingi alizowekeza kwa WASAKATONGE walioko vyuoni, kinachoonekana pesa zinapigwa na kambi zake kuendelea kuaguka kila uchao.

Kwa chaguzi za CBE siyo kambi ya Mhe. MEMBE, JANUARY wala LOWASSA hawa wote wamengukia PUA(wameshindwa vibaya na kambi zao), inasemekana Mhe. L alitoa fungu kwa kambi yake ili kusaidia kwny kampeni na ndiyo kambi iliyokuwa na nguvu lkn mwisho wa siku mgombea wake alianguka, Naambiwa kuwa ni kada wa CHADEMA ndiye alifanikiwa kuwa RAIS wa chuo cha CBE, ni dhahiri kuwa UKOMBOZI siyo PESA bali ni SERA safi, sina maana kuwa pesa isitumike kwny chaguzi hizi, maana yangu, kuwa tumieni hela kwa vitu vya msingi na siyo kugawa PESA kwa wapiga KURA ili upate KULA..!

Utamu na Kichekesho kipo UDOM…!
Hasa "College ya HUMANITIES and SOCIAL SCIENCES" mchakato wa kumpata rais wa college hii unaonekana kuwa mgumu na waajabu sana, na kwa mujibu wa mtoa taarifa ni kwamba, kunauwezekano wa CCM kutopata hata kada mmoja kwny ngazi za URAIS wa COLLEGES na hata ngazi ya SHIRIKISHO, Ikumbukwe UDOM ina college SITA(6), kinachoenekana ni hakuna hata dalili ya CCM kupitisha hata kada mmoja kwa ngazi ya URAIS, Hii ni kwa kambi zote 3(MEMBE, LOWASSA na hata JANUARY). Kwny college ya CHSS, ni dhahiri kuwa mgombea anayeungwa mkono na wale wa mlengwa wa kushoto ataapishwa kuwa RAIS na kumwangusha aliyeko mlengwa wa kulia (CCM na ni kambi ya mzee), huyu mgombea anayeungwa mkono na CCM siyo tu kwamba ni mwanaCCM bali ni mwana CCM aliyepo kwny kambi ya Mhe. L atashindwa na Kushindwa kwa huyu Bw. M siyo tu kwa sababu ya SERA mbovu alizonazo ambazo zimeshindwa kuwashawishi wanachuo hao, na atashindwa siyo tu kwa sababu ya ujio wa Bw. PHILIPO MWAKIMBINGA(kada wa chadema na X- RAIS 2011 baada kusimamishwa kwa sababu za migomo ya kipindi kile,) na anayemuunga mkono RAIS mtarajiwa, Huyu Bw. M (kada wa L), kwa mujibu wa mahojiano yetu naomba nitoe sababu za kwanini Bw. M atashindwa kwny uchaguzi wa college hiyo CHSS, sababu zifuatazo za msingi:-

1) Atashindwa kwa sababu ya makundi ndani ya CCM tawi la UDOM, yapo makundi matatu (3), lipo kundi la MEMBE, LOWASSA na JANUARY, ktk mchakato wa kumpata mtu wa kumsimamisha mgombe kutoka CCM, palitokea sintofahamu kati ya pande tatu juu ya nani asimamishwe kuwa rais na sintofahamu hii ilitokana na nguvu ya kambia zote 3 na kila kambi ilikuwa na msimo wake na manufaa yake kwa baadae, lkn kwa sababu ya nguvu ya PESA ya kambi L walifanikiwa kupitisha mtu wao na kusababisha kambi mbili zilizobaki kuamua kususia mchakato huo, hii sababu ya kwanza kwa jamaa yangu kuanguka.

2) Pia, Bw. M atashindwa kwa sababua ya Dhuluma na Usaliti, zipo taarifa kuwa wakati wa mchakato wa kugombea, jamaa alienda kwaMhe. L ili kupata nguvu kidogo ya kampeni, Mzee hakuwa na kinyongo alizama mfukoni na kutoa kidogo, but alitoa kwa angalizo Mhe. akamwambia kuwa, "hili fungu nakupa ila siyo lako tu bali kawape na wenzako"(ikumbukwe kuwa makada HAI wa mzee wako wengi kwny TAWI la UDOM, Kilichotokea jamaa hakufikisha mzigo na kuanza kutanua peke yake, mwisho wa siku ndg zake wakapata taarifa juu ya fungu lile, na hivyo wakamua kujiweka pembeni.

3) Sababu nyingine ni Majivuno, matumizia mabaya ya pesa na kauri za jeuri ya pesa za kutoka kwa mzee nayo ni sababu tosha iliyommaliza mshikaji yule, zipo taarifa kutoka kwa mtoa maada kuwa, yule ndg X aliianza kutumia lugha chafu baada ya kuona mfuko umetuna na inasemekana kuwa, peas zilezile ndiyo zimetumika kuwaengue baadhi ya wagomea wa ngazi ya URAIS waliokuwa na nguvu na kupandikiza watu wake ili mwisho wa siku waje wajitoe nay eye apite bila kupingwa! Ndg zangu! Bado nampa pole tena Mzee wangu, na natoa ushauri wa bure, "Mzee jipange upya na uipange upya timu yako" vinginevyo tutafungwa kirahisi sana 2015" na kama itawezekana tumia mfumo wa KOCHA mmoja maarufu Duniani(JOSE MOURINHO) wa kwmba, "kama mpira ni mgumu basi ni vyema UPAKI BASI uwe unapiga Counter attack ndipo tutaweza kupata hata sare"
TUNAHITAJI RAIS MWENYE MAAMUZI MAGUMU na HAKUNA MWINGINE
ZAIDI Mhe..LOWASSA 2015.!
 
Porojo tuuu

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Hivi the .....so called wasomi wa vyuo vikuu ni wajinga kuliko !! Hii nchi ina mtaala wa elimu dhaifu sana !!
 
Pole sana Mhe. LOWASSA kwa harakati zako za kusaka URAIS 2015….! Ndg zangu, juzi nilitembelea Mji wa Dodoma, hakuna asiyefahamu jinsi mji ule ulivyojariwa na kuwa na vyuo vikuu vingi (Eg. UDOM, MIPANGO, ST JOHN na CBE), nilijaribu na nilifanikiwa kufanya mahojiano na baadhi ya wanavyuo toka CBE na UDOM kuhusu mwelekeo wa siasa za Tz na KATIBA MPYA kuelekea 2015. Mazungumzo yetu yalijikita ktk SIASA na chaguzi za VYUO VIKUU na mchango wake kuelekea 2015, tulijikita hasa vyuo vya UDOM na CBE, CBE walishamalizika uchaguzi na mshindi kupatikana, Chaguzi za UDOM bado zinaendelea, na kwa taarifa za wasemaji wangu, UDOM watapiga kura tar 19 na 20.. Kwa mujibu wa wasemaji wangu, chaguzi za UDOM na CBE zimegubikwa na makundi ya vyama na wanasiasa wasaka URAIS 2015, lipo kundi la Mhe. LOWASSA, Mhe MEMBE na Wale wa mlengwa wa KUSHOTO (CHADEMA) na kwa kiasi kidogo sana akina JANUARY na SITTA wamejaribu kujipenyeza kwenye hizi chaguzi, ila kwa mujibu wa reporters wangu inaonyesha hali ni ngumu sana kwa Ndg LOWASSA, bila kujali PESA nyingi alizowekeza kwa WASAKATONGE walioko vyuoni, kinachoonekana pesa zinapigwa na kambi zake kuendelea kuaguka kila uchao. Kwa chaguzi za CBE siyo kambi ya Mhe. MEMBE, JANUARY wala LOWASSA hawa wote wamengukia PUA(wameshindwa vibaya na kambi zao), inasemekana Mhe. L alitoa fungu kwa kambi yake ili kusaidia kwny kampeni na ndiyo kambi iliyokuwa na nguvu lkn mwisho wa siku mgombea wake alianguka, Naambiwa kuwa ni kada wa CHADEMA ndiye alifanikiwa kuwa RAIS wa chuo cha CBE, ni dhahiri kuwa UKOMBOZI siyo PESA bali ni SERA safi, sina maana kuwa pesa isitumike kwny chaguzi hizi, maana yangu, kuwa tumieni hela kwa vitu vya msingi na siyo kugawa PESA kwa wapiga KURA ili upate KULA..! Utamu na Kichekesho kipo UDOM…! Hasa "College ya HUMANITIES and SOCIAL SCIENCES" mchakato wa kumpata rais wa college hii unaonekana kuwa mgumu na waajabu sana, na kwa mujibu wa mtoa taarifa ni kwamba, kunauwezekano wa CCM kutopata hata kada mmoja kwny ngazi za URAIS wa COLLEGES na hata ngazi ya SHIRIKISHO, Ikumbukwe UDOM ina college SITA(6), kinachoenekana ni hakuna hata dalili ya CCM kupitisha hata kada mmoja kwa ngazi ya URAIS, Hii ni kwa kambi zote 3(MEMBE, LOWASSA na hata JANUARY). Kwny college ya CHSS, ni dhahiri kuwa mgombea anayeungwa mkono na wale wa mlengwa wa kushoto ataapishwa kuwa RAIS na kumwangusha aliyeko mlengwa wa kulia (CCM na ni kambi ya mzee), huyu mgombea anayeungwa mkono na CCM siyo tu kwamba ni mwanaCCM bali ni mwana CCM aliyepo kwny kambi ya Mhe. L atashindwa na Kushindwa kwa huyu Bw. M siyo tu kwa sababu ya SERA mbovu alizonazo ambazo zimeshindwa kuwashawishi wanachuo hao, na atashindwa siyo tu kwa sababu ya ujio wa Bw. PHILIPO MWAKIMBINGA(kada wa chadema na X- RAIS 2011 baada kusimamishwa kwa sababu za migomo ya kipindi kile,) na anayemuunga mkono RAIS mtarajiwa, Huyu Bw. M (kada wa L), kwa mujibu wa mahojiano yetu naomba nitoe sababu za kwanini Bw. M atashindwa kwny uchaguzi wa college hiyo CHSS, sababu zifuatazo za msingi:- 1) Atashindwa kwa sababu ya makundi ndani ya CCM tawi la UDOM, yapo makundi matatu (3), lipo kundi la MEMBE, LOWASSA na JANUARY, ktk mchakato wa kumpata mtu wa kumsimamisha mgombe kutoka CCM, palitokea sintofahamu kati ya pande tatu juu ya nani asimamishwe kuwa rais na sintofahamu hii ilitokana na nguvu ya kambia zote 3 na kila kambi ilikuwa na msimo wake na manufaa yake kwa baadae, lkn kwa sababu ya nguvu ya PESA ya kambi L walifanikiwa kupitisha mtu wao na kusababisha kambi mbili zilizobaki kuamua kususia mchakato huo, hii sababu ya kwanza kwa jamaa yangu kuanguka. 2) Pia, Bw. M atashindwa kwa sababua ya Dhuluma na Usaliti, zipo taarifa kuwa wakati wa mchakato wa kugombea, jamaa alienda kwaMhe. L ili kupata nguvu kidogo ya kampeni, Mzee hakuwa na kinyongo alizama mfukoni na kutoa kidogo, but alitoa kwa angalizo Mhe. akamwambia kuwa, "hili fungu nakupa ila siyo lako tu bali kawape na wenzako"(ikumbukwe kuwa makada HAI wa mzee wako wengi kwny TAWI la UDOM, Kilichotokea jamaa hakufikisha mzigo na kuanza kutanua peke yake, mwisho wa siku ndg zake wakapata taarifa juu ya fungu lile, na hivyo wakamua kujiweka pembeni. 3) Sababu nyingine ni Majivuno, matumizia mabaya ya pesa na kauri za jeuri ya pesa za kutoka kwa mzee nayo ni sababu tosha iliyommaliza mshikaji yule, zipo taarifa kutoka kwa mtoa maada kuwa, yule ndg X aliianza kutumia lugha chafu baada ya kuona mfuko umetuna na inasemekana kuwa, peas zilezile ndiyo zimetumika kuwaengue baadhi ya wagomea wa ngazi ya URAIS waliokuwa na nguvu na kupandikiza watu wake ili mwisho wa siku waje wajitoe nay eye apite bila kupingwa! Ndg zangu! Bado nampa pole tena Mzee wangu, na natoa ushauri wa bure, "Mzee jipange upya na uipange upya timu yako" vinginevyo tutafungwa kirahisi sana 2015" na kama itawezekana tumia mfumo wa KOCHA mmoja maarufu Duniani(JOSE MOURINHO) wa kwmba, "kama mpira ni mgumu basi ni vyema UPAKI BASI uwe unapiga Counter attack ndipo tutaweza kupata hata sare" TUNAHITAJI RAIS MWENYE MAAMUZI MAGUMU na HAKUNA MWINGINE ZAIDI Mhe..LOWASSA 2015.!

Inawezekana una ujumbe mzuri lakini mpangilio na mtiririko wa maelezo yako yanawakosesha ladha wasomaji... Conclusion yako ya kuangalia chaguzi za Vyuo vikuu vya Dodoma HAIKO sawa! Lowassa ni zaidi ya hao watoto wa bongo flavor Mkuu... Majority ya Watanzania wenye uelewa wanamtaka Lowassa zaidi ya yeye anavyoutaka urais...
 
Wacha utani , sasa matokeo ya uchaguzi wa serikali za wanafunzi na kugombea uraisi kwa mheshimiwa lowasa kunampa pigo kivipi sababu si serikali za wanafunzi ndo zinachagua raisi bali wananchi, píli kipindi chã uchaguzi wanafunzi wote wanakuwa majumbani sasa hata kama unakundi lako si kitu rahisi kukusaidia kipindi híko mfano mzuri tazama matukio ya 2010 pale UDSM ilipofungwa na kupelekea mtatiro kupungukiwa nguvu kikura

Sent from my BlackBerry 9380 using JamiiForums
 
Inawezekana una ujumbe mzuri lakini mpangilio na mtiririko wa maelezo yako yanawakosesha ladha wasomaji... Conclusion yako ya kuangalia chaguzi za Vyuo vikuu vya Dodoma HAIKO sawa! Lowassa ni zaidi ya hao watoto wa bongo flavor Mkuu... Majority ya Watanzania wenye uelewa wanamtaka Lowassa zaidi ya yeye anavyoutaka urais...

A big NO, "people choose leaders they deserve". Bado unafikiri ndani ya box, you have to think outside the box na hii sio tatizo lako ni mfumo wa elimu yetu isiyofikirisha vya kutosha, kila siku kufanya mambo yale yale ya budget zetu za kuongeza bei ya soda, pombe na sigara! Amini usiamini kwa mawazo yako nchi hii hatoki ilipo. L ni kati ya viongozi walioliweka taifa hili kwenye ufukara na ujinga huku wakizunguka na magunia ya bakishishi kutupumbaza ili waendelee kushika madaraka. Kushinda waweza kulazimisha lkn ni ukweli dhahili kuongoza wameshindwa zamani.
 
Mhe. Sorry nilipost kimakosa, mpangilio nafikiri kwa sasa umekaa vizuri, soma na uelewe ujumbe..! ila tambua kuwa hata mimi simubezi Mhe. LOWASSA na nazani umeoona mwishon nimemaliziaje...
 
hakuna watu wanafiki kama wasomi wa udom ccm hili jamaa lnatyuambia maswala ya mafuru huku limelenga kumpia kupani lowasa kumbukeni police wanastafu ila mwizi hastafu kama huyo jamaa wa harambe mtampa kura basi ile ya matajiri wa monduli yaani richmond itakuqwa zaid ya hapo kwa hiyo uchaguzi wa UDOM AMBAO UTAFANYIKA KESHO NA KESHO KUTWA LAZIMA MAFURU NAYE ATUMIKE KUWALIPA MSHAHARA VIONGOZI WENGINE LAZIMA ACHEZEE
 
Huko vyuo vikuu ndiko kunakocheleweshwa ukombozi wa nchi hii. Kama nchii ingewategemea wasomi tungechelewa sana kupata uhuru.
 
1, Hivi nawahuliza watanzania hasipogombea Lowasa tz haiwezi kuwa na kiongozi mwingine ambaye atawatetea wanzania kati milioni 45?
2,Pili kwanini Lowasa anga'ngania kuwa Rais pamoja na pigo halilolipata la kisisa hakiwa wzr mkuu inanikera kwelikweli.
3,Najiuliza swali hivi watanzania wanaokaa kwenye mitandao kumpamba Lowasa hivi ni watanzania kweli au wakimbizi ndani ya tz au ni jaa zao tu na wako tayari tz iongozwe na mitandao ya majambazi bora washibe wao?
4,je wanajua kumrudisha Lowasa madarakani ni kuirudishia nguvu mitandao ya wezi ambaya ilikuwainaanza kukosa nguvu?
5, kazi kwenu watanzania mimi niko kwetu nalima mahindi familia yangu ishibe
 
Mleta mada inaonekana hii ni semester ya pili hujapata bum.....mbona unaandika utumbo wa kiti moto mkuu.....EL ni moto wa kuotea mbali kwnye siasa za bongo kwanza ni kumpa fedheha kumuhusisha na vijiuchaguzi vyenu vya kitoto wakati watz tunavuta muda 2015 awe rais wetu
 
vyuo vikuu vilikua zamani siku hizi ni wahuni tu ndiyo wamejaa huko, watu makini ni wa kuhesabu
 
vp kule UDSM, SUA, MZUMBE, TUMAINI.......... ktk research yako wanasemaje
 
Back
Top Bottom