Kinachoendelea ITV sasa, wapo sahihi kweli?

Kinachoendelea ITV sasa, wapo sahihi kweli?

Fede Masolwa

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2013
Posts
529
Reaction score
123
Sasa wanaendesha kipindi cha malumbano ya hoja, ninachoona sio malumbano, bali ufafanuzi wa uchaguzi wa Zanzibar kuahirishwa na uhalali wake kikatiba na kisheria.

Nimejiuliza kwanini hakuna mtu mwingine wa kufafanua tofauti na muongeaji ambaye anamtazamo moja tuuu.

ITV hapo naona kama mna hasira, amsaidi jamii mnaumiza jamii zaidi, Amani ni muhimu zaidi acheni wazanzibar waamue hatima yao.

Usiku mwema.
 
Sasa wanaendesha kipindi cha malumbano ya hoja, ninachoona sio malumbano, bali ufafanuzi wa uchaguzi wa Zanzibar kuahirishwa na uhalali wake kikatiba na kisheria.

Nimejiuliza kwanini hakuna mtu mwingine wa kufafanua tofauti na muongeaji ambaye anamtazamo moja tuuu.

ITV hapo naona kama mna hasira, amsaidi jamii mnaumiza jamii zaidi, Amani ni muhimu zaidi acheni wazanzibar waamue hatima yao.

Usiku mwema.

Umevimbewa maharage ya Usiku eeh?
 
Ila kasema itafika mahali mtumishi wa umma mwenye madaraka yake anashauriana na mke wake then anaweka toa maamuzi....Duuuu hii ndio Tanzania....
 
Sasa wanaendesha kipindi cha malumbano ya hoja, ninachoona sio malumbano, bali ufafanuzi wa uchaguzi wa Zanzibar kuahirishwa na uhalali wake kikatiba na kisheria.

Nimejiuliza kwanini hakuna mtu mwingine wa kufafanua tofauti na muongeaji ambaye anamtazamo moja tuuu.

ITV hapo naona kama mna hasira, amsaidi jamii mnaumiza jamii zaidi, Amani ni muhimu zaidi acheni wazanzibar waamue hatima yao.

Usiku mwema.

Mengi ni mmoja wa watakaopelekwa The Heague endapo Zanzibar itachafuka, pamoja na yule Spencer Lameck.
 
Sasa wanaendesha kipindi cha malumbano ya hoja, ninachoona sio malumbano, bali ufafanuzi wa uchaguzi wa Zanzibar kuahirishwa na uhalali wake kikatiba na kisheria.

Nimejiuliza kwanini hakuna mtu mwingine wa kufafanua tofauti na muongeaji ambaye anamtazamo moja tuuu.

ITV hapo naona kama mna hasira, amsaidi jamii mnaumiza jamii zaidi, Amani ni muhimu zaidi acheni wazanzibar waamue hatima yao.

Usiku mwema.

Umekurupuka mwanzo walisema watakuwa na wagen wengine
 
ITV level zao ni za Aljazeera, hakuna vyombo vya habari Afrika unaweza kulinganisha na ITV, ITV shindanisha na media za Ulaya tu. Pimbi wewe!
 
Sasa wanaendesha kipindi cha malumbano ya hoja, ninachoona sio malumbano, bali ufafanuzi wa uchaguzi wa Zanzibar kuahirishwa na uhalali wake kikatiba na kisheria.

Nimejiuliza kwanini hakuna mtu mwingine wa kufafanua tofauti na muongeaji ambaye anamtazamo moja tuuu.

ITV hapo naona kama mna hasira, amsaidi jamii mnaumiza jamii zaidi, Amani ni muhimu zaidi acheni wazanzibar waamue hatima yao.

Usiku mwema.
Kwanini mwana sheria wa nec kaingia mitini na alikuwa ahudhurie kipindi!???au amekwepa aibu maana angeumbuka
 
ITV level zao ni za Aljazeera, hakuna vyombo vya habari Afrika unaweza kulinganisha na ITV, ITV shindanisha na media za Ulaya tu. Pimbi wewe!

ni kweli ndugu unajua jf siku hizi imeingiliwa na mapimbi kama mleta mada watu wanatoa ufafanuzi hili paka linasema uchochezi elimu elimu elimu
 
Mkuu, pole sana! Hivi unayasema haya kutoka moyoni kabisa?! Kwa hiyo polepole akiwa mwenyewe tbc huwa kuna nani pale mwenye mtazamo tofauti?! Hivi kweli inaingia akilini kuwa ccm ikishinda 'uchaguzi ulikuwa huru na haki' ila ccm ikishindwa uchaguzi si huru na haki?!
 
Sasa wanaendesha kipindi cha malumbano ya hoja, ninachoona sio malumbano, bali ufafanuzi wa uchaguzi wa Zanzibar kuahirishwa na uhalali wake kikatiba na kisheria.

Nimejiuliza kwanini hakuna mtu mwingine wa kufafanua tofauti na muongeaji ambaye anamtazamo moja tuuu.

ITV hapo naona kama mna hasira, amsaidi jamii mnaumiza jamii zaidi, Amani ni muhimu zaidi acheni wazanzibar waamue hatima yao.

Usiku mwema.

Hao waliofuta uchaguzi Zanzibar sidhani kama wanajali amani ya Tanzania
 
Sasa wanaendesha kipindi cha malumbano ya hoja, ninachoona sio malumbano, bali ufafanuzi wa uchaguzi wa Zanzibar kuahirishwa na uhalali wake kikatiba na kisheria.

Nimejiuliza kwanini hakuna mtu mwingine wa kufafanua tofauti na muongeaji ambaye anamtazamo moja tuuu.

ITV hapo naona kama mna hasira, amsaidi jamii mnaumiza jamii zaidi, Amani ni muhimu zaidi acheni wazanzibar waamue hatima yao.

Usiku mwema.

Kama kawaida wale wa mlengo wa ccm wamekimbia kama Mr Magufuli anavyokimbiaga. Maana wanajua hawana cha kwenda kuzungumza wasije jikanyaga na kulikologa zaidi, ndio maana umemuona mmoja tu pale
 
Ukiacha huyo aliyepo studo walimwalika mwanashria wa tume na mwanashetia mwingine ambao wote waliconfirm kushiriki na viti vyao vikawekwa hapo....lakini hawajayokea. Mtangazaji kaliweka hilo wazi...

By the way, huyo mwanasheria ameje ga arguments zake vizuri kwa kubase kwenye sheria....pinga hoja zake kama unaweza !

Sasa wanaendesha kipindi cha malumbano ya hoja, ninachoona sio malumbano, bali ufafanuzi wa uchaguzi wa Zanzibar kuahirishwa na uhalali wake kikatiba na kisheria.

Nimejiuliza kwanini hakuna mtu mwingine wa kufafanua tofauti na muongeaji ambaye anamtazamo moja tuuu.

ITV hapo naona kama mna hasira, amsaidi jamii mnaumiza jamii zaidi, Amani ni muhimu zaidi acheni wazanzibar waamue hatima yao.

Usiku mwema.
 
Back
Top Bottom