Kinachoendelea Gaza ni maajabu ya dunia

Kinachoendelea Gaza ni maajabu ya dunia

Afu cha kushangaza anaruhusiwa afanye genocide na bado hajashinda licha ya kupewa silaha za kila aina na US, licha ya kusaidiwa na nchi chungu zima bado hawajaweza kuwashinda Hamas.

Hi dunia ni ya majabu sana wanao jidai wanafata human rights wao ndio wanao ufanya ukatili, wanawapa silaha Israel za kila aina, wao ndo wanaipinga mahakama walio iunda ya ICC.


Mungu alisha ahidi Waislam wakisimamia haki zao hakuna atakaye washinda. Masjid Al Aqsa utabaki hapo hapo watake wastake. Wa Palestine watabaki hapo hap watake wasitake.

Na Yemen watamshinda US watake wasitake.
Mkuu; Hebu tufafanulie hapo unaposema na kukazia "watake wasitake". Ni mbinu gani waliyonayo inayowapa huo ujasiri?
 
Ile mnaita masjid Al aqsa ikichukua miaka 3 mbele sijui.............
Masjid utabaki mtake msitake Uislam ndio dini ya haki ujristo ni dini ya Paulo aliliota shetani pale kwenye njia panda ya Damascus na Jerusalem 🤣
 
Mkuu; Hebu tufafanulie hapo unaposema na kukazia "watake wasitake". Ni mbinu gani waliyonayo inayowapa huo ujasiri?
Allah ndio kila kitu na tuna amini kila kwenye mtihani mgumu kuna mafanikio. Allah hawezi kukupa pepo kama vile pepo yenu ya 3=1. Nyie hata mzini, mdhulumu, muuwe Yesu kisha beba dhambi zenu sio 🤣
 
Ajabu sana,hawana hata kifaru Hamas.
20241002_155749.jpg
 
Masjid utabaki mtake msitake Uislam ndio dini ya haki ujristo ni dini ya Paulo aliliota shetani pale kwenye njia panda ya Damascus na Jerusalem 🤣
Netanyahu tupe vitu..............naona majibu yameanza kuchangamka
 
Ndio maana tukawaambia Hamas washikilie hapo hapo nusra ipo njiani
Washikilie kwa manufaa ya watoto,wanawake na watu wa Gaza ili hao raia waendelee kupata raha.

Si ajabu shaka umeandika huku umekaa kwa sofa unakula wali kuku.

Takataka za madrasa hazijawahi kumwacha mtu salama
 
Allah ndio kila kitu na tuna amini kila kwenye mtihani mgumu kuna mafanikio. Allah hawezi kukupa pepo kama vile pepo yenu ya 3=1. Nyie hata mzini, mdhulumu, muuwe Yesu kisha beba dhambi zenu sio 🤣
OK. Nashukuru kwa kufafanua kwamba mnamwamini Allah na kwamba haiwezekani kuipata pepo yenu bila kufuzu mtihani mgumu atakao wapeni nyie waja wake. Inshallah mkuu.
 
Masjid utabaki mtake msitake Uislam ndio dini ya haki ujristo ni dini ya Paulo aliliota shetani pale kwenye njia panda ya Damascus na Jerusalem 🤣
Nataka kukufahamisha mambo yafuatayo;
1. True Christianity is not a religion. Islam is. Christianity is not a religion but a relationship.
2. Mungu anayeabudiwa na Wakristo si sawa na anayeabudiwa na Waislamu. Wakristo wana mwabudu Mungu Aliyejuu, aliyeziumba mbingu na nchi, aliyemuuta Ibrahim kutoka Ur ya wakaldayo, aliyewakomboa Israel kutoka utumwani, aliyepita katika nchi ya Misri usiku ule akamuua mzaliwa wa kwanza wa mwanadamu na wa mnyama na kuihukumu Miungu ya Farao, aliyemtoa mwana wake wa pekee Yesu Kristo ili kila amwaminiye awe na uzima wa milele
3. Ibrahim wanaomjua Wakristo ni tofauti na Ibrahim wanaomjua Waislamu. Ibrahim wa Biblia aliagizwa amtoe mwanawake wa pekee kama sadaka ya kuteketezwa lakini Ibrahim wa Quran aliagizwa kutoa Ishmael
3. Kabla ya Paulo kulikuwa na akina Petro, Yakobo(James), Yohana n.k waliohusika katika ile siku ya Pentecost na kuzaliwa Kwa kanisa and what is so called Christianity. Kama unataka kujua Ukristo kama dini ulianzia wapi you have to go back to the day of Pentecost
4. Kwa sasa naomba niishie hapa
 
Moja ya maajabu ya dunia nayo endelea kushuhudia na dunia inayo endelea kushuhudia ni jeshi la Israel(IDF) ni kuendelea kupigana na Hamas mpaka leo toka 2023 mpaka sasa 2025.

Pamoja na hali ya kutisha ya uharibifu inayo endelea Gaza bado jeshi la Israel halijatimiza lengo hata moja lililo wapeleka Gaza.

Haya ni maajabu ya dunia kwa ukubwa wa jeshi la Israel na udhaifu wa kikundi cha Hamas kwa yanayo endelea Gaza kwa yoyote anaye fuatilia.
Kwa sasa IDF hailingani na HAMAS
 
Afu cha kushangaza anaruhusiwa afanye genocide na bado hajashinda licha ya kupewa silaha za kila aina na US, licha ya kusaidiwa na nchi chungu zima bado hawajaweza kuwashinda Hamas.

Hi dunia ni ya majabu sana wanao jidai wanafata human rights wao ndio wanao ufanya ukatili, wanawapa silaha Israel za kila aina, wao ndo wanaipinga mahakama walio iunda ya ICC.


Mungu alisha ahidi Waislam wakisimamia haki zao hakuna atakaye washinda. Masjid Al Aqsa utabaki hapo hapo watake wastake. Wa Palestine watabaki hapo hap watake wasitake.

Na Yemen watamshinda US watake wasitake.
Ndoto za mwendawazimu hizo!!
 
Moja ya maajabu ya dunia nayo endelea kushuhudia na dunia inayo endelea kushuhudia ni jeshi la Israel(IDF) ni kuendelea kupigana na Hamas mpaka leo toka 2023 mpaka sasa 2025.

Pamoja na hali ya kutisha ya uharibifu inayo endelea Gaza bado jeshi la Israel halijatimiza lengo hata moja lililo wapeleka Gaza.

Haya ni maajabu ya dunia kwa ukubwa wa jeshi la Israel na udhaifu wa kikundi cha Hamas kwa yanayo endelea Gaza kwa yoyote anaye fuatilia.
Hamkosagi Taqqya nyinyi waislamu. Endapo Israel angeamua kupigana hiyo vita kama alivyopigana na Hezbollah ambayo ni mara elfu kwa ubora, basi kusingekuwa na Kamasi zozote kwa sasa. Lakini maskini wawatu Israel inabidi apigane kwa umakini ili apunguze maangamizi ya raia wa Kigaza kwani Makamasi yanajificha miongoni mwa raia. Nyinyi waislamu sijui kufikiri kwenu kumeathiriwa na kitabu chenu? Au pia pengine DNA za kurithi toka Mtume. Maana iko wazi kabisa kuwa Kamasi zinajificha miongoni mwa raia halafu wewe bado waja na huu utumbo wako. Au labda mnachojua ni hiki kwenye video!!??
 
Back
Top Bottom