Kinachoendelea Gaza ni maajabu ya dunia

Kinachoendelea Gaza ni maajabu ya dunia

Mi mi

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2024
Posts
5,752
Reaction score
10,523
Moja ya maajabu ya dunia nayo endelea kushuhudia na dunia inayo endelea kushuhudia ni jeshi la Israel(IDF) ni kuendelea kupigana na Hamas mpaka leo toka 2023 mpaka sasa 2025.

Pamoja na hali ya kutisha ya uharibifu inayo endelea Gaza bado jeshi la Israel halijatimiza lengo hata moja lililo wapeleka Gaza.

Haya ni maajabu ya dunia kwa ukubwa wa jeshi la Israel na udhaifu wa kikundi cha Hamas kwa yanayo endelea Gaza kwa yoyote anaye fuatilia.
 
Moja ya maajabu ya dunia nayo endelea kushuhudia na dunia inayo endelea kushuhudia ni jeshi la Israel(IDF) ni kuendelea kupigana na Hamas mpaka leo toka 2023 mpaka sasa 2025.

Pamoja na hali ya kutisha ya uharibifu inayo endelea Gaza bado jeshi la Israel halijatimiza lengo hata moja lililo wapeleka Gaza.

Haya ni maajabu ya dunia kwa ukubwa wa jeshi la Israel na udhaifu wa kikundi cha Hamas kwa yanayo endelea Gaza kwa yoyote anaye fuatilia.
Ndio maana tukawaambia Hamas washikilie hapo hapo nusra ipo njiani
 
Moja ya maajabu ya dunia nayo endelea kushuhudia na dunia inayo endelea kushuhudia ni jeshi la Israel(IDF) ni kuendelea kupigana na Hamas mpaka leo toka 2023 mpaka sasa 2025.

Pamoja na hali ya kutisha ya uharibifu inayo endelea Gaza bado jeshi la Israel halijatimiza lengo hata moja lililo wapeleka Gaza.

Haya ni maajabu ya dunia kwa ukubwa wa jeshi la Israel na udhaifu wa kikundi cha Hamas kwa yanayo endelea Gaza kwa yoyote anaye fuatilia.
Lengo ni kuchukua ardhi mjomba sio kuokoa binadamu mzee funguka
 
Moja ya maajabu ya dunia nayo endelea kushuhudia na dunia inayo endelea kushuhudia ni jeshi la Israel(IDF) ni kuendelea kupigana na Hamas mpaka leo toka 2023 mpaka sasa 2025.

Pamoja na hali ya kutisha ya uharibifu inayo endelea Gaza bado jeshi la Israel halijatimiza lengo hata moja lililo wapeleka Gaza.

Haya ni maajabu ya dunia kwa ukubwa wa jeshi la Israel na udhaifu wa kikundi cha Hamas kwa yanayo endelea Gaza kwa yoyote anaye fuatilia.
Wapeni hao Hamas kiburi kwenye mitandao tu,, huku wakipukutika. In total vifo vimezidi 50,000, eti mnawapa sifa za kijinga. Wenzenu mayahudi wana target zao ninyi mnashabikia udini na wenzenu wanapoteza watu, ardhi na mali.
 
Moja ya maajabu ya dunia nayo endelea kushuhudia na dunia inayo endelea kushuhudia ni jeshi la Israel(IDF) ni kuendelea kupigana na Hamas mpaka leo toka 2023 mpaka sasa 2025.

Pamoja na hali ya kutisha ya uharibifu inayo endelea Gaza bado jeshi la Israel halijatimiza lengo hata moja lililo wapeleka Gaza.

Haya ni maajabu ya dunia kwa ukubwa wa jeshi la Israel na udhaifu wa kikundi cha Hamas kwa yanayo endelea Gaza kwa yoyote anaye fuatilia.
Afu cha kushangaza anaruhusiwa afanye genocide na bado hajashinda licha ya kupewa silaha za kila aina na US, licha ya kusaidiwa na nchi chungu zima bado hawajaweza kuwashinda Hamas.

Hi dunia ni ya majabu sana wanao jidai wanafata human rights wao ndio wanao ufanya ukatili, wanawapa silaha Israel za kila aina, wao ndo wanaipinga mahakama walio iunda ya ICC.


Mungu alisha ahidi Waislam wakisimamia haki zao hakuna atakaye washinda. Masjid Al Aqsa utabaki hapo hapo watake wastake. Wa Palestine watabaki hapo hap watake wasitake.

Na Yemen watamshinda US watake wasitake.
 
Moja ya maajabu ya dunia nayo endelea kushuhudia na dunia inayo endelea kushuhudia ni jeshi la Israel(IDF) ni kuendelea kupigana na Hamas mpaka leo toka 2023 mpaka sasa 2025.

Pamoja na hali ya kutisha ya uharibifu inayo endelea Gaza bado jeshi la Israel halijatimiza lengo hata moja lililo wapeleka Gaza.

Haya ni maajabu ya dunia kwa ukubwa wa jeshi la Israel na udhaifu wa kikundi cha Hamas kwa yanayo endelea Gaza kwa yoyote anaye fuatilia.
Shida ni vita yenye huruma,unataka kumpiga adui yako unamtangazia kwamba kesho utapiga sehemu fulani hivyo ahamie sehemu nyingine.hilo lisilofanyika nakuhakikishia vita inaisha leo jioni
 
Unaposema hajatimiza lengo
Unajua malengo Yao!?
Ushawaambiwa Gaza inataka kubadilishwa kuwa east Israel na kufuta kabisa Hilo jina na njia ya kuibadili ndio hiyo kufuta majengo na historia yake
Malengo Yao usikute hao Hamas wanatumika tu ili kufanikisha huo mpango
 
Unaposema hajatimiza lengo
Unajua malengo Yao!?
Ushawaambiwa Gaza inataka kubadilishwa kuwa east Israel na kufuta kabisa Hilo jina na njia ya kuibadili ndio hiyo kufuta majengo na historia yake
Malengo Yao usikute hao Hamas wanatumika tu ili kufanikisha huo mpango
Kuiangamiza Hamas na kukomboa mateka wote hayo ndio malengo yao waliyo waweka wazi mwanzoni kabisa mwa vita.

Haya unayo andika wewe ni matamanio yako
 
Moja ya maajabu ya dunia nayo endelea kushuhudia na dunia inayo endelea kushuhudia ni jeshi la Israel(IDF) ni kuendelea kupigana na Hamas mpaka leo toka 2023 mpaka sasa 2025.

Pamoja na hali ya kutisha ya uharibifu inayo endelea Gaza bado jeshi la Israel halijatimiza lengo hata moja lililo wapeleka Gaza.

Haya ni maajabu ya dunia kwa ukubwa wa jeshi la Israel na udhaifu wa kikundi cha Hamas kwa yanayo endelea Gaza kwa yoyote anaye fuatilia.
Ulishawahi kuona jeshi au mgambo wa Hamas akiwa na kombat akiwa mstari wa mbele kupigana na IDF?

Huo wimbo wa WANAWAKE WAZEE NA WATOTO mtauimba sana. Maana hata mashabiki wa HAMAS hamjitambui.
 
Kuiangamiza Hamas na kukomboa mateka wote hayo ndio malengo yao waliyo waweka wazi mwanzoni kabisa mwa vita.

Haya unayo andika wewe ni matamanio yako
Mkuu nawewe na akili zako timamu unaamini malengo ya kuvamia Gaza ni kukomboa mateka tu nakuondoka?

You got it wrong mkuu

Israel ikishindwa kuwaondoa wapalestina Gaza hapo itakua imefeli
 
Afu cha kushangaza anaruhusiwa afanye genocide na bado hajashinda licha ya kupewa silaha za kila aina na US, licha ya kusaidiwa na nchi chungu zima bado hawajaweza kuwashinda Hamas.

Hi dunia ni ya majabu sana wanao jidai wanafata human rights wao ndio wanao ufanya ukatili, wanawapa silaha Israel za kila aina, wao ndo wanaipinga mahakama walio iunda ya ICC.


Mungu alisha ahidi Waislam wakisimamia haki zao hakuna atakaye washinda. Masjid Al Aqsa utabaki hapo hapo watake wastake. Wa Palestine watabaki hapo hap watake wasitake.

Na Yemen watamshinda US watake wasitake.
Ile mnaita masjid Al aqsa ikichukua miaka 3 mbele sijui.............
 
Waendelee kuuana tu sisi afrika tuna shida zetu zimetushinda na hawajawahi kutusaidia kulia
 
Back
Top Bottom