Mi mi
JF-Expert Member
- Jul 14, 2024
- 5,752
- 10,523
Moja ya maajabu ya dunia nayo endelea kushuhudia na dunia inayo endelea kushuhudia ni jeshi la Israel(IDF) ni kuendelea kupigana na Hamas mpaka leo toka 2023 mpaka sasa 2025.
Pamoja na hali ya kutisha ya uharibifu inayo endelea Gaza bado jeshi la Israel halijatimiza lengo hata moja lililo wapeleka Gaza.
Haya ni maajabu ya dunia kwa ukubwa wa jeshi la Israel na udhaifu wa kikundi cha Hamas kwa yanayo endelea Gaza kwa yoyote anaye fuatilia.
Pamoja na hali ya kutisha ya uharibifu inayo endelea Gaza bado jeshi la Israel halijatimiza lengo hata moja lililo wapeleka Gaza.
Haya ni maajabu ya dunia kwa ukubwa wa jeshi la Israel na udhaifu wa kikundi cha Hamas kwa yanayo endelea Gaza kwa yoyote anaye fuatilia.