Ezekiel 21;27
Change is inevitable
Tulishasema hawatakalia hivo viti vina damu
Huu ni mwanzo mpk tuingie uchaguzi mwingine! Yes tuna uchaguzi mwingine....
 
Sio Genz,hawa ni watu wanakuwa wametumwa kuja kufanya spinning na kuwa hamisha watu kwenye hoja ya msingi.

Ukweli ni kuwa the Butcher yupo mzima bado wanasoma upepo atoke vipi.

Japo simuoni akikalia hicho kiti zaidi ya 2026
Uzuri ukipita kwenye platform wanazojadili maandamano hii habari wameipuuzia ht hawaiongelei wanasema afe asife wao hawaitaki ccm..
So waje na trick nyingine.

Ss wanahangaika nn kuweka video za zamani tbc kuwahadaa wananchi?
Kuumwa anaunwa huu ndo ukweli ...

2026???sema miezi sio mwaka..
🀣 πŸ˜‚ πŸ˜† πŸ˜„
 
Ramli tena!!
Acheni kuwapa watu matumaini hewa au hofu ambayo haipo.
Shida mnamuangalia mtu 1, familia πŸ˜„ ngoja nikwambie tuna mautani tunaandika humu bt
kuondoka wataondoka wengi tu huu ndo ukweli ....
...ili mabadiliko yaje kiukweli kuna watu lzm waondoke na wataondoka!
Huyo bi msumi kuondoka kwake wala sio hope /nafuu ya hili taifa
Ye ni sehemu tu ya kutimiza process ya kuzaliwa kwa kitu kwenye Taifa ....

Na ndo uchaguzi mwingine utakuja , lini sijui ila najua tuna 4 state funeral ....2 hazitapishana sn ...pamoja na yote yanayoendelea just wait and see
Change is inevitable....
 
Ezekiel 21;27
Change is inevitable
Tulishasema hawatakalia hivo viti vina damu
Huu ni mwanzo mpk tuingie uchaguzi mwingine! Yes tuna uchaguzi mwingine....
 
Asante kwa kunipa matumaini. Maisha yafaa nini bila matumani? Hata wagonjwa wa miwaya wanaishi kwa matumaini πŸ’ƒπŸ»
 
Asante kwa kunipa matumaini. Maisha yafaa nini bila matumani? Hata wagonjwa wa miwaya wanaishi kwa matumaini πŸ’ƒπŸ»
Ht jana watu mmedanganywa na picha na video ya zaman mkajaa ... ht editing hawajui sijui walienda kusomea ujinga au makusudi , btw hivi habari inaishia tbc tu vyombo vingine km ITV hawatangazi? ,ogopa Mungu na teknolojia
πŸ˜„ 🀣 πŸ˜‚ πŸ˜† πŸ˜„ heehee eti mzima wa afya haya aje msibani jmn tumuone bi msumi......anyway kifo ni kifo tu....

Na vitadumu vitu 3,Tumaini
Upendo na Imani....
 
Kwa hivyo ni kweli mtu kalamba mchanga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…