GE2025 Kina Mama wagalagala chini wakimpokea Samia Mbinga

GE2025 Kina Mama wagalagala chini wakimpokea Samia Mbinga

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Mbinga Vijijini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Judith Kappinga, ameongoza akina mama wa Kabila la Wamatengo kumlaki Mwenyekiti wa CCM Taifa na Mgombea Urais, Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, kwa njia ya kiutamaduni iliyohusisha wimbo maalum na kugalagala chini kama ishara ya heshima.

Tukio hilo limefanyika leo, Septemba 21, katika mwendelezo wa ziara za kampeni za Rais Samia za kuomba ridhaa ya wananchi na kuinadi Ilani ya CCM 2025–2030 kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025.

 
Vituko na vichekesho hivi vya uswahilini vinapatikana chaneli gani?
 
Back
Top Bottom