JET SALLI
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 2,993
- 2,034
Ushabiki ni jambo zuri sana kama haki, ukweli na uwazi vitatawala.
Hata ukiwa na furaha kama una msiba ni msiba tu,unaweza kucheka lakini kidonda kilichopo moyoni kitakutesa tu, mshindi ni mshindi tu na mungu ndiye aongozaye mambo yote.
"Maandiko matakatifu yanasema bwana asipoulinda mji wanaoulinda wanakesha bure" kama ushindi huu ni wa Magufuli basi taifa litapata neema na kama sio wake tutarajie laana daima.
Mungu afanye kazi yake kadiri ya mapenzi yake.
Hata ukiwa na furaha kama una msiba ni msiba tu,unaweza kucheka lakini kidonda kilichopo moyoni kitakutesa tu, mshindi ni mshindi tu na mungu ndiye aongozaye mambo yote.
"Maandiko matakatifu yanasema bwana asipoulinda mji wanaoulinda wanakesha bure" kama ushindi huu ni wa Magufuli basi taifa litapata neema na kama sio wake tutarajie laana daima.
Mungu afanye kazi yake kadiri ya mapenzi yake.