Kimsingi Chadema wanagombania Ruzuku

Sasa hawa million 100 za kila mwezi wanatoana roho wakipewa Dola sijui itakuwaje

Tuzidi kuwaombea 🐼
Wewe unayo matatizo makubwa sana kichwani mwako.
Kiufupi, wewe ni CHIZI asiyejuwa hili wala lile.
Chizi hujiokotea tu matakataka kila anapopita na kuysambaza kama uchafu kila eneo anakopita.
 
Halafu unakuta ni Baba ni wa Familia na familia inamtegemea
 
Udanganyifu mtupu No reform no Election huku wanajaza matumbo Yao posho na marupurupu yatokanayo na jasho ma damu za Kodi za wananchi
 
Kwa akili za CCM hicho ndio mmefikiria kitatutoa kwenye reli kuhusu kudai reforms?
 
Wewe unayo matatizo makubwa sana kichwani mwako.
Kiufupi, wewe ni CHIZI asiyejuwa hili wala lile.
Chizi hujiokotea tu matakataka kila anapopita na kuysambaza kama uchafu kila eneo anakopita.
Mwamba awafanyie wepesi wenzie 😁
 
Nimekwisha tambua wewe ni kikaragosi kimoja cha hovyo kabisa!
Mtu mzima unakuwa na akili za kitoto namna hii; huko nyumbani kwako kukoje huko!
Mimi siyo Mwanga ujue πŸ˜βœ”οΈ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…