Kimeo kipya cha JK China balozi aliyelala usingizi mpaka sasa


Haya sasa na taarifa wanayo mtu anasema no comment then mwingine anakuja kusdma apewe muda! Yani umekuta msiba utasema upewe muda? Wanaposema uteuzi unaanza mara moja maana yake nini? Suala la kusema eti anashughulikha nchi nyingi kwani si walijua wanahitaji mtu mwenye sifa gani?
 
Hii ndiyo serikali yetu kaka na Hadi sasa hata huku nyumbani issue bado Tata Kila siku maisha ya akiwa magumu sana kiasi watanzania wanakata tamaa ya maisha.

Dawa ya haya yote ni kuufanyia over hole mfumo wote wa utawala NCHINI kwetu ndipo HIZI KERO ndogo ndogo zitakapopunguzwa kama si kumalizika kAbisa.

Mungu IBARIKI Tanzania na watu wake wote!.
 
wewe unafikiria masaburi inamaana unafurahia kupigwa na wachina? kabla ya kuja na solution unaleta ujinga mbele ya maisha ya wenzio.

Kupigwa na wachina kama umewakosea adabu ni sawasawa, ukiwa kwa watu fanya heshima na adabu, unawapelekea unga mbovu wakikulamba makofi uje kulalamika "nimepigwa"?
 
Zomba hizo nchi unazoongelea zina ukubwa wa Singapore or Zanzibar, Vatican nk au ni nchi kama Canada, US, Russia na nyinginezo kubwa? I don't think what you are trying to potray is realistic due to different sizes of countries around the globe. But after all our diplomats representing our country enjoy a treasure of information at their finger tips from reliable sources, funds and network rather an individual Tanzania travelling overseas. It's unrealistic if you are heading say at a certain place South of US and our embassy is in Washington and the prior to heading there you first call your embassy so as to furnish it your safari. It's not possible and unworkable. However, if you counter any problem while in a certain country our representative likes of embassies cannot divorce themselves from rebdering any support. Or at hearing that there's a Tanzanian who is unffortunately in risk/danger or any unpleasant occasion, cannot just hold up hands for the reason that someone never reported prior to travelling. They have and must find out and if the discover that the respective person bears Tanzanian passport, they are dutybound to come to rescue. This is there responsibility and duty and needs commonsense even if they never went to diplomacy studies. Tuachane na kuwa ukishapata nafasi unageuka kuwa Sultan. If someone offers to become a diploat or a public leader one has got to humbly serve and save
 

Yule kaenda kwa kazi ya kuomba omba na si kuwakilisha maslahi ya watanzania .
 
we umempa muda gani???au JK alimpa muda gani???ni muda gani hutolewa kwa mabalozi kuanza kufanya kazi zao za kibalozi????..huyu jamaa Marmo hati za utambulisho alishapeleka kwa watawala wa uchina...acha kutetea uvivu bana...haya ndo tunayozungumza kila siku TZ.....wapeni muda...wapeni muda....Btw..sijui kama unajua kama kuna maswala ambayo hayaitaji kupotezewa muda??..mfano...swala la wanafunzi kushindwa kujisajili na hata kushindwa ku meet deadline ya kuomba mikopo bodi hallitaji kupotezewa muda....au yeye balozi atakuwa tayari kuwahudumia wanafunzi wataokosa mikopo watakapoandamana kwenda ubalozini???kwa kushindwa kumudu maisha....kisa wamekosa msaada toka ubalozini...kwa kuwa eti balozi anahitaji apewe muda!! wake up dude....
 
Kupigwa na wachina kama umewakosea adabu ni sawasawa, ukiwa kwa watu fanya heshima na adabu, unawapelekea unga mbovu wakikulamba makofi uje kulalamika "nimepigwa"?

Miafrika bana huwa haipendani kabisa yani wewe unanifanya nikumbuke usemi wa kaburu Botha alisema- if you think africans are human beings, give them GUNS and they will start killing among each other! Sasa we bwana Zomba unaonekana hata busara huna, ni kwamba mambo ya diplomcy hata jeshi hutumia diplomacy before engaging any other means of force.
 
Mna bahati sana mpaka sasa laptop yangu inakataa ku "reply with quote", Kwa ufupi, arguments zenu zote hazina mshiko hata kidogo. Hivi nyinyi mnazo reports za kidiplomasia zote kutoka china zinazorudishwa wizarani kujuwa kuwa hilo jambo halijaripotiwa? kama hamna inabidi kfunge vinywa tu. Kuna kati yenu anaweza kweli kusimama akamshutumu Kikwete kwa mambo ya kidiplomasia? hamjui kuwa kakaa miaka 10 kama waziri wa mambo ya nje? hamjui pia kuwa hata boss wake wa siki hizo (Mkapa) nae ni mwana diplomasia? Marmo kama balozi kakosa nini zaidi ya majungu yenu tu? Huyo Mtanzania aliyepigwa alikwenda kufanya biashara ipi? alikuwa anakaa wapi china? alijiandikisha ubalozini kuwa yupo china? Mnakuwa na lawama zisizo na kichwa wala miguu, kitu kido ooohhh, Kikwete. Huyo Kikwete tazameni cV yake halafu ndio muanze kupayuka. Kuna kati yenu anayeijuwa diplomasia zaidi yake? "uneducated fools from uneducated schools".
 
Hahaha sen cok problem arkadas yaaaaaaa. Sen nerde kanka?


QUOTE=zomba;4046024]Nderingosha, You simply do not understand what diplomacy is, I feel pity for you. A diplomat can only facilitate and advose you on the best ways to conduct your business in China if you register to him and go with particular requests, A diplomat can never come and rescue you when you are not even known to exist in China. You simply do not know what diplomacy is. You screw up in China you pay for it not the Ambassador nor The President. Bu diplomasinin ne olduğunu bilmek çalışmasını durdurmak[/QUOTE]
 
Good observation!

But the "indicators" discussed are one sided! They don't succinctly tell the weaknesses of Amb. Phillip Marmo! The rumourville indicators are merely on students and on "businessmen/women" being beaten in Guanzhou City - one of the manufacturing city of China. There are no data that tell the reasons for instance for the "businessmen/women" being beaten and the number of "businessmen/women" beaten. Otherwise, I concur with the student's efforts exerted by seeking to meet the Ambassador though their efforts has proved to be in vain. However, justifications and evidence should be provided on the efforts rendered by the students.

JK appointees has been a mess and their competencies has proved to be questionable and of more burden to the Tanzanians and Tanzania. Philip Marmo represents the inefficiencies and effects of friendly government of JK. But, please lets discuss their inefficiencies and incompetencies by coming up with concrete data otherwise someone for instance may think that you're student or the beaten businessman/woman who seeks some favors from the ambassador or you have something fishy in mind.
 
First of all...these are real observations....they all happened in china..they are not rumors as you put it......secondly,...what numbers (stats)do you need!!..this is not a case for numbers here...i mean..if one Tanzanian is beaten up abroad..you don't need to wait for the second one or third one to be beaten up again..to add to the numbers as you put it.....Btw..talking about numbers..if you ever happen to talk to Tanzanians who have been in China(especially Guanzhou).you will hear that beatings to blacks are a common occurrence over there....Serious countries do this...they don't wait for numbers if their citizens get into troubles abroad(even if its only one citizen)....america does this often..and we in TZ pretend to follow america(while doing the very opposite)....If one Chinese is beaten up in TZ..i'm sure their embassy in Dar will react....and we have seen this before....As for students....these are people to take care even closer....because they are more vulnerable to problems...especially financial problems...considering that most of them rely on HESLB for mikopo....As for me....get it from me...i only put forward these observations based on my real sources who see there inefficiencies from the TZ embassy in china....if i have something fishy in my mind...why come and put it here?? come-on dude!!..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…