Kimeo kipya cha JK China balozi aliyelala usingizi mpaka sasa

Kama mtu hajapitia Chuo chochote cha Diplomasia halafu anatumwa kufanya kazi za ki-diplomasia kwenye nchi kama China ambayo inajulikana duniani kote unatarajia nini? Nafikiri wa kulaumiwa zaidi ni huyo aliyewateua!

Nadhani wizara ya mambo ya nje ndiyo inahusika zaidi hapa, unajua zamani ulikuwa unasikia mtu ni diplomat yani walikuwa wanaogopwa maana walikuwa ni watu wenye heshima kubwa sana kwenye jamii. Nadhani sasa kuna haja ya kuangalia upya ajira ya ubalozi maana asidhani kateuliwa kwenda kuomba misaada tu au kuiuza nchi kwa wawekezaji, ubalozi ni zaidi ya hapo, kuna mambo ya kijeshi, mawasiliano, elimu, biashara nk. Mtu anashindwa hata kuandaa students exchange program? Anashindwa kuandaa tour ya vijana kwenda kuangalia mambo mbalimbali ya uchumi na teknology? Hata kutoa tamko fulani hatusikii? Sasa hawa ni wanakuwa ni wanasiasa au ma-diplomats?
 
Nderingosha, You simply do not understand what diplomacy is, I feel pity for you. A diplomat can only facilitate and advose you on the best ways to conduct your business in China if you register to him and go with particular requests, A diplomat can never come and rescue you when you are not even known to exist in China. You simply do not know what diplomacy is. You screw up in China you pay for it not the Ambassador nor The President. Bu diplomasinin ne oldu?unu bilmek çal??mas?n? durdurmak

Lets be realistic, wewe unaweza ukawa ndugu yake marmo for sure, ila diplomacy na kazi za diplomats huzijui. Endelea ku-quote lugha!
 
Nderingosha, You simply do not understand what diplomacy is, I feel pity for you. A diplomat can only facilitate and advose you on the best ways to conduct your business in China if you register to him and go with particular requests, A diplomat can never come and rescue you when you are not even known to exist in China. You simply do not know what diplomacy is. You screw up in China you pay for it not the Ambassador nor The President. Bu diplomasinin ne olduğunu bilmek çalışmasını durdurmak
we have seen serious countries fighting for the better of their citizens wherever they are (whenever they have any problem).....for you..a diplomat deals with business matters only!! what an ignorant puto you are eh!!
 
Nderingosha, You simply do not understand what diplomacy is, I feel pity for you. A diplomat can only facilitate and advose you on the best ways to conduct your business in China if you register to him and go with particular requests, A diplomat can never come and rescue you when you are not even known to exist in China. You simply do not know what diplomacy is. You screw up in China you pay for it not the Ambassador nor The President. Bu diplomasinin ne olduğunu bilmek çalışmasını durdurmak

Mkuu Zomba, a Diplomat should not wait in his Office for his Nationals to come and Register/Report themselves - rather he should go out and find if there are his Nationals in his territorial area and what they are doing there! At the end of the day these people will be either "polishing or tarnishing" the Image of our country in that particular area! It is his duty to cross-check all that! Reflect!
 
Bondpost, Mimi nimesafiri sana duniani, na baada ya kujifunza, sasa hivi sisafiri kokote mpaka kwanza niupigie simu ubalozi mahali ambapo tuna balozi zetu, huwezi amini, toka nimeanza kufanya hivyo (kama miaka 20 iliyopita mpaka hii leo), huwa nasafiri nikiwa na information kamili, wapi pa kufikia na Mabalozi na maafisa Ubalozi mara nyingi wamekuwa hata wakinikaribisha makwao na kunisihi nisipoteze pesa kwa kufikia hoteli kama nakaa siku mbili tatu, wanajuwa hali zetu. Imefikia mahali mpaka maofisa ubalozi wamekuja nimepokea Airport ili nisitaabike. Nakwambia hivi, Watanzania wengi wanapenda kulaumu pasipo laumika. Siku hizi ni very simple, unaandika email tu kwa ubalozi kutaka information za hiyo nchi au huo mji kabla hujaenda na kuiwekea mkazo unai cc kwa Bernard Membe. Fanya hivyo uone kama hautahudumiwa ipasavyo. Nyie mnjiendea tu kichwa kichwa. Kama unaenda kibiashara poteza masaa mawili matatu kabla hujaenda, nenda Chanber of Commerce, nenda wizara ya mambo ya nje, kuna mabalozi pale wanashughulikia kila nchi katika hii dunia, watakupa anuani za nani uwasiliane nae na nini ufanye kama hujui. Wacheni kukurupuka, mkisikia watu wanasafiri na nyie mnakurupuka tu. "prevention is better than cure" any diplomat will tell you that. Ulizeni wabunge wenu kabla hawajasafiri wanawasiliana na ubalozi au wanajiendea tu kichwa kichwa, sasa ikiwa mliowachaguwa wawatumikie wanafanya hivyo, nyinyi ma bosi zao hamfanyi, nani wakumlaumu?
 
Hili li serikali hata halijui linafanya nini ukimuuliza waziri mkuu leo kuhusu mashamba atakujibu hivi kesho vile ...mkapa kule meru alisema ataongea na jk mashamba yarudishwe wakati yeye ndie alieyauza.....nyama mbofu
 
kindafu, You are very wrong my friend. You are supposed to register to inform your Embassy before you go and you are strongly advised to register to your Embassy as soon as you arrive. You are supposed to be carrying full contact information of your nearest Embassy even before you depart. Imagine an Ambassador going all over China looking for his nationals, who are not even registered and who pour into China in hundreds if not thousands every month.
 
nderingosha, Your way of thinking and your vocabulary is totally undiplomatic, calling me names for enlightening you. Be blessed for that. An ambassador can never be in a position to rescue you if he does not know even your whereabouts in China, because simply you failed to register to him. The best he can do is to ensure your safe departure in casket if anything happens to you and you are reported. Otherwise, never ever blame the diplomats. Yes, they are there not only for your business but you as a businessperson it is your business to register at your embassy and to let them know your whereabouts from time to time.
 
Bondpost, Mimi nimesafiri sana duniani, na baada ya kujifunza, sasa hivi sisafiri kokote mpaka kwanza niupigie simu ubalozi mahali ambapo tuna balozi zetu, huwezi amini, toka nimeanza kufanya hivyo (kama miaka 20 iliyopita mpaka hii leo), huwa nasafiri nikiwa na information kamili, wapi pa kufikia na Mabalozi na maafisa Ubalozi mara nyingi wamekuwa hata wakinikaribisha makwao na kunisihi nisipoteze pesa kwa kufikia hoteli kama nakaa siku mbili tatu, wanajuwa hali zetu. Imefikia mahali mpaka maofisa ubalozi wamekuja nimepokea Airport ili nisitaabike. Nakwambia hivi, Watanzania wengi wanapenda kulaumu pasipo laumika. Siku hizi ni very simple, unaandika email tu kwa ubalozi kutaka information za hiyo nchi au huo mji kabla hujaenda na kuiwekea mkazo unai cc kwa Bernard Membe. Fanya hivyo uone kama hautahudumiwa ipasavyo. Nyie mnjiendea tu kichwa kichwa. Kama unaenda kibiashara poteza masaa mawili matatu kabla hujaenda, nenda Chanber of Commerce, nenda wizara ya mambo ya nje, kuna mabalozi pale wanashughulikia kila nchi katika hii dunia, watakupa anuani za nani uwasiliane nae na nini ufanye kama hujui. Wacheni kukurupuka, mkisikia watu wanasafiri na nyie mnakurupuka tu. "prevention is better than cure" any diplomat will tell you that. Ulizeni wabunge wenu kabla hawajasafiri wanawasiliana na ubalozi au wanajiendea tu kichwa kichwa, sasa ikiwa mliowachaguwa wawatumikie wanafanya hivyo, nyinyi ma bosi zao hamfanyi, nani wakumlaumu?

Mkuu Zomba, unayosema ni kweli lakini wa kulaumiwa sio wananchi wanaosafiri bali ni hao wanaoteuliwa kufanya kazi za ki-diplomasia bila kuwa na Elimu/Ufahamu wa kutosha wa Diplomasia! Balozi zetu zikishirikiana na Wizara ya Mambo ya Nje zina jukumu la kuelimisha Umma kuwa wanapotaka kusafiri kwenda nchi fulani ni nini cha kuzingatia na tahadhari gani muhimu za kuchukua na pia kutoa "contacts" muhimu iwapo mtu anapata matatizo awapo nchi fulani! Tambua ufahamu wa watu wetu ni mdogo sana kwenye mambo hayo - ni jukumu la hao walioajiriwa Idara hizo kutoa elimu ya kutosha!
 
kindafu, You are very wrong my friend. You are supposed to register to inform your Embassy before you go and you are strongly advised to register to your Embassy as soon as you arrive. You are supposed to be carrying full contact information of your nearest Embassy even before you depart. Imagine an Ambassador going all over China looking for his nationals, who are not even registered and who pour into China in hundreds if not thousands every month.

Mkuu Zomba, what I mean is that he/she should establish mechanisms that will help him/her be informed and updated and whenever necessary enable him/her take due action! e.g When an American National comes to Tanzania, even without reporting to the American Embassy, will be tracked down wherever he is to counter-check if whatever he is doing there is for the best interest of the American people and will not entangle the Diplomatic Relations between the two countries!
 
nderingosha, Your way of thinking and your vocabulary is totally undiplomatic, calling me names for enlightening you. Be blessed for that. An ambassador can never be in a position to rescue you if he does not know even your whereabouts in China, because simply you failed to register to him. The best he can do is to ensure your safe departure in casket if anything happens to you and you are reported. Otherwise, never ever blame the diplomats. Yes, they are there not only for your business but you as a businessperson it is your business to register at your embassy and to let them know your whereabouts from time to time.
i don't need your enlightenment on the matters i put forward...because you always protect the interests of the status quo....Btw..stop your shortsightedness...by thinking that i'm the victim here trying to get rescue from the status quo....you are wrong because what i have presented here are the weaknesses which are already seen in china by Tanzanians who live,study and work there (not me).....You seem to focus your attention on the business deals.....forgetting that there are also many Tanzanian students who need attention from their ambassador.. ...thats why i tell you...i don't need your enlightenment on the said matters...because you are biased....good bye...
 
Sasa kupigwa wafanya biashara kuna uhusiano upi na Marmo? Wachina hata hapa wanapiga watu, umesahau kuwa walintandika mpaka mkuu wa kituo cha polisi? Kama huna cha kuandika ondoa hii maji taka.

Yani umeona tuhuma moja tu hiyo natamani umu JF tungesajiriwa kama kwenye vitambulisho vya NIDA ili watu kama wewe tuwasake tuwatie adabu kibaraka mkubwa akili yako kama CHIZI namaanisha yule CHIZI wa ATCL.
 
Sasa kupigwa wafanya biashara kuna uhusiano upi na Marmo? Wachina hata hapa wanapiga watu, umesahau kuwa walintandika mpaka mkuu wa kituo cha polisi? Kama huna cha kuandika ondoa hii maji taka.

wewe unafikiria masaburi inamaana unafurahia kupigwa na wachina? kabla ya kuja na solution unaleta ujinga mbele ya maisha ya wenzio.
 
Yani umeona tuhuma moja tu hiyo natamani umu JF tungesajiriwa kama kwenye vitambulisho vya NIDA ili watu kama wewe tuwasake tuwatie adabu kibaraka mkubwa akili yako kama CHIZI namaanisha yule CHIZI wa ATCL.

Huyu bwana yeye anang'ang'ania kurejista! Nani anayajua hayo? Kuna watu wanaishi ughaibuni hayo wanakutana nayo sana! By the way yeye ni lazima atatetea kwa nguvu zote maana anasema hata huwa anapokelewa na maofisa wa ubalozi, ha ha, what a lie! Anafananisha passport ya wabunge na ya mwananchi wakawaida. Anasema hata wabunge wanapokelewa na maofisa wa ubalozi, anasahau wale ni viongozi wa serikali. Anadhani mambo yako hivyo kwa kila mtanzania anaefika ughaibuni sababu yeye naye ni mmoja wa maofisa wa serikali. Anasahau kuwa wengine hayo hatujayashuhudia, last month nilikuwa German kwenye Drupa Trade Fair, hayo mapokezi anayoyasema sijayaona. Wala sihitaji kwani balozi tumempa kazi gani? Unajua ni rahisi kwa samaki kujua umuhimu wa maji kwenye bwawa kuliko kenge!
 
zomba na shidwa kukuelewa unajua ubalozi wetu china au unaongea tu kunawasanii wa kutupwa pale juzi tu hapa kulikuwa na issue ya wanfunzi kuhusu OLAS kunamwakilishi mmoja anaitwa G. Manongi alikuja na sera kibao lakini alipoona ameshindwa kaa kimya mpaka mwanafunzi mmoja akajitolea kuwasiliana na hao OLAS kilichofuata hapo. kana baadhi ya wanafunzi hawjafanya registration mpaka leo kuna mmoja alimuandikia huyu mwakilishi wa wanafunzi kuwa hajafanya registration jibu alilompa " no coment" hivi ungekuwa ni wewe ungemuonaje huyu mtu aliyeletwa nataaifa kusaidia watanzania kinachofuata hapo anafanya usanii wa kujibidisha na shughuli zake binafisi (biashara) bila kujali tunapata matatizo gani. tusitetee ujinga serikali ijue haina mwakilishi alikuja kuwakilisha nchi kwa masilahi ya watanzania bali ya kifamilia. ukitaka muelewane waambie niko shang'hai utaona kunabiashra gani tuanayoweza fanya bila kujua wewe umekuja china kwa shughuli ipi hili lilisha nipata mimi napiga simu najitambulia anaiuliza mkuu tunaweza fanya biashara gani kabla ya kujua tatizo langu ni lipi na niko china kwa shughuli ipi.
 

Kaenda CHINA Mwezi Mmoja Uliopita; yeye Sio Balozi wa Tanzania anayeiwakilisha CHINA pekee anawakilisha VIETNAM, HONGKONG, INDONESIA to name the few

Huo ni Ubalozi Mkubwa anahitaji angalau Miezi zaidi ya Mmoja kuwa angalu mwenyeji ndio apate muda wa kuangalia na kukutana na Watukufu Wanafunzi; Kuangalia Hiyo Mikataba Unayoitaka Iangaliwe.

Wapeni Muda, Sasa tuna Internet kila mtu anajua Majukumu ya Mawaziri wetu Mabalozi wetu ?

* KWELI ANAHITAJIKA ANA MWEZI MMOJA TU, NADHANI HAJAPELEKA HATI ZA KUJITAMBULISHA NCHI NYINGINE.

*** Uliona Balozi wetu wa Uingereza Juzi Juzi tu ndio alipeleka Utambulisho wake Ireland, na amekuwa huko kwa Mwaka Mmoja? Ni Kazi.

**** Siitetei CCM; Natetea Mfumo wa kazi ninavyoujua Sio Rahisi...
 
Back
Top Bottom