limbukeni wa mtandao
Member
- Aug 19, 2018
- 14
- 5
Wamepiga kimya hatari 😀.Sio ajabu, popote alipo binadamu hapakosi MAASI. Tatizo la wenzetu haya yakifanywa na padri au mchungaji watakashifu madhehebu yote ya dini husika kana kwamba zinaabudu hao wakosaji na huko kwao viongozi wao wa dini ni malaika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha umbea