Kimenuka CCM Arusha sasa vipande vipande


Umesema vema, lakini ndani ya ccm nani anaweza kuwa na tafakuri ya hivi?
Hata wale ambao wana mawazo mazuri hawawezi kwa sababu ni wachumia tumbo.
Nobody in ccm will think beyond his nose.
 
Mambo ya Bongo ni burudani sana! Juzi Kafuli katunukiwa kwa sababu ya Escrow ! Jana Watuhumiwa wa Escrow wamesafishwa! Hapa sasa nakumbuka na kumwelewa Rais mstaafu Ben Mkapa aliposema Bongo maana yake ni ujanja.

Matukio ya Bongo yanaweza kukufanya kuzinduka hata kama ulikuwa umezimia
 

WanaCCM bwana walitegemea MAEMBE kwenye MLIMAO?Haya ngoja wayasubiri.............
 
Inabidi ccm ijitafakali isifanye mambo kimazoea wakae wakijua kuna ukawa

Mwalimu JKN alisema ...'Aliyezoea kula nyama ya watu haachi kamwe...'Nashangaa mnashangaa kusafishwa kwa wachafu.........
 

Good! advice!
 
Lowassa katenda dhambi isiyo sameheka vinginevyo kama unataka kujichafua mwenyewe.
 
Kama hasafishiki si wamtie OMO na kumloweka? Au watumie JIK,lazima atasafishika tu!
Hakuna ufisadi usioweza kusafishika mbele ya cccm
 
Atasafishwa tu kwani kwa CCM kusafishana ni jadi leo kesi ya Mramba na wenziwe akina mgonja ina miaka kumi haijaisha ila Farijara anaongezewa miaka tu kila wakati anapopaswa kutolewa
Pasco ameshaanza ku-play part yake ya kumsafisha kwa hapa jf
 
Last edited by a moderator:
Kafungwa mikono na miguu halafu anaambiwa apigane.Hiyo kamba iliyomfunga ikikatika ndipo mambo yatakapojulikana.Lowassa ni mpiganaji.wakimtema tu Lowassa wamekwisha.
 
Kafungwa mikono na miguu halafu anaambiwa apigane.Hiyo kamba iliyomfunga ikikatika ndipo mambo yatakapojulikana.Lowassa ni mpiganaji.wakimtema tu Lowassa wamekwisha.

Mamba ana nguvu akiwa majini, chukua hatua
 
Lakini kuna watu humu walisema matokeo mabaya ya uchaguzi wa serikali za mitaa ni kwa sababu ya Escrow. Sasa itakuwaje wa take kutenda kama unavyosema? Hawa waliosafishwa hawakutenda makosa hayo kwa hiari au matakwa yao ya kiarifu, ndiyo maana ni vigumu kuwaadhibu.
 

Ccm wote hakuna aliye msafi kabisa
 

Mkuu tupo pamoja ktk maombi ya kuwang' oa hawa magamba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…