Wapendwa katika Bwana wala msilalamike kuhusu CCM kusafishana, usafi wao ni kweny maandishi ila mioyoni wa Watanzania wanaoteseka na uovu huu, hakuna aliye msafi na kwa kushupaa shingo huku kwa CCM ndio kutasababisha mlipuko wa hasira za wananchi, siku hazigandi na tarehe zinayoyoma kwa kasi kuelekea october, mafuriko ndani ya CCM hayazuiliki hata waweke kingo za namna gani, tayari CCM i hoi kwa mgawanyiko wa wao kwa wao, kilichobaki ni kwa mpinzani wake kumalizia palipobaki na CCM kubaki historia.........Mungu atubariki katika hili, tukeshe tukiomba kwani saa ya ukombozi ni sasa.