ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,425
- 85,248
My Take
USA wako busy na Israel huku watu wao wanakufa bila Msaada 😁😁😁👇👇
--
Idadi ya watu waliofariki kutokana na kimbunga Helene nchini Marekani, imevuka watu 200 wakati huu vikosi vya uokoaji vikiendelea kuwahamisha na kutafuta watu zaidi ambao hawajulikani walipo, hiki kikiwa kimbunga kibaya zaidi kushuhudiwa tangu kile cha Katrina.
Akitembelea maeneo yaliyoathiriwa na kimbunga Helene, rais Joe Biden , ameahidi msaada zaidi na kutaka wanasiasa kuweka kando tofauti zao ili kusaidia raia.
Mamlaka zinasema mamia ya watu hawajulikani walipo huku nyumba zaidi ya laki 7 zikiwa hazina umeme kwa zaidi ya wiki sasa.
Pia, soma: Kimbunga cha Helene kimeua zaidi ya watu 90 Nchini Marekani
USA wako busy na Israel huku watu wao wanakufa bila Msaada 😁😁😁👇👇
--
Idadi ya watu waliofariki kutokana na kimbunga Helene nchini Marekani, imevuka watu 200 wakati huu vikosi vya uokoaji vikiendelea kuwahamisha na kutafuta watu zaidi ambao hawajulikani walipo, hiki kikiwa kimbunga kibaya zaidi kushuhudiwa tangu kile cha Katrina.
Akitembelea maeneo yaliyoathiriwa na kimbunga Helene, rais Joe Biden , ameahidi msaada zaidi na kutaka wanasiasa kuweka kando tofauti zao ili kusaidia raia.
Mamlaka zinasema mamia ya watu hawajulikani walipo huku nyumba zaidi ya laki 7 zikiwa hazina umeme kwa zaidi ya wiki sasa.
Pia, soma: Kimbunga cha Helene kimeua zaidi ya watu 90 Nchini Marekani