Kimboka by night, sewa bar na buguruni vyuku..nao wafungiwe!!

wakusoma

JF-Expert Member
Feb 25, 2008
1,084
1,061
Kama kigezo cha kufunga kona bar na ile club yetu maarufu ya ambiance.. Ambayo sisi wanafunzi tuliopitia UDSM ilikuwa inaatusaidia Sana kupata wale "fisi"au maarufu kama "mipaka shume" kwa urahisi basi na hizi bar nilizotaja nazo zifungwe.

Maana kwa uchafu unaofanyika buguruni usiku..basi ni mara100 ya ambiance.

Kwa wale ambao huwa mnasafiri kwa ndege nje ya nchi Kama Mimi hasa usiku jaribu kukatiza pale kimboka mnapokuwa mnaenda airport usiku.. Mtaona midudu washa had ya buku..
 
Kimboka ndio balaa.. Anyway Hapi hahusiki huko labda Mjema na Mwingine waombe ushauri kwanza.
 
mh magu ikiwezekana piga marufuku unywaji wa pombe na uvutaji wa sigara kwanza kabisa ni machukizo mbele ya ALLAH tabaraka wataala (mungu wa haqi) pili ina madhara kwa afya ya mtumiaji tatu inasababisha matatizo mwngine kama vile ubakaji , mimba zenye kuleta watoto wa nje 4 mama na Dada zetu hawapati haqi yao ipasavyo kitandani kwa kuwa ulevi hupelekea uvivu na kupunguza function ya faru john ktk kuingia shimoni
 
585d12e37b2dbf10ee0a3ee4e8b4858a.jpg
 
Yule mmiliki wa Ambiance akienda Mahakamani serikali itamlipa maana wale wauza miili hawauzii pale Ambiance na kujiuza ni issue personal haziko kwenye leseni yake
 
Vivo ivo na Buguruni.. Buguruni wafunge wapi sasa wakati malaya wanajiuza ndani ya gesti na kichochoroni
 
Kama mbwai iwe mbwai funga Bar zote kwani Mabarmaid karibu wote wanauza.
 
Humu ma gt ni wachache sana,kimboka ni bar,wanauza vinywaji,mwenye bar anahusikaje na hao malaya? Lazima mfikiri kabla ya kuandika.
 
Kama kigezo cha kufunga kona bar na ile club yetu maarufu ya ambiance.. Ambayo sisi wanafunzi tuliopitia UDSM ilikuwa inaatusaidia Sana kupata wale "fisi"au maarufu kama "mipaka shume" kwa urahisi basi na hizi bar nilizotaja nazo zifungwe.

Maana kwa uchafu unaofanyika buguruni usiku..basi ni mara100 ya ambiance.

Kwa wale ambao huwa mnasafiri kwa ndege nje ya nchi Kama Mimi hasa usiku jaribu kukatiza pale kimboka mnapokuwa mnaenda airport usiku.. Mtaona midudu washa had ya buku..
Kwani Kimboka ipo wilaya ya Kinondoni? Maana Kona Bar imefungiwa na DC wa Kino.....Buguruni ni wilaya nyingine ya Ilala.
 
Kama kigezo cha kufunga kona bar na ile club yetu maarufu ya ambiance.. Ambayo sisi wanafunzi tuliopitia UDSM ilikuwa inaatusaidia Sana kupata wale "fisi"au maarufu kama "mipaka shume" kwa urahisi basi na hizi bar nilizotaja nazo zifungwe.

Maana kwa uchafu unaofanyika buguruni usiku..basi ni mara100 ya ambiance.

Kwa wale ambao huwa mnasafiri kwa ndege nje ya nchi Kama Mimi hasa usiku jaribu kukatiza pale kimboka mnapokuwa mnaenda airport usiku.. Mtaona midudu washa had ya buku..
****
ACHA KUWAWANGIA BINADAMU WENZAKO / NCHI SIO SHULE,NCHI NI LAZIMA IZUNGUKE 24HRS,NO WAYOUT / UTAKAPOFANYA TOFAUTI NI LAZIMA NCHI ITAATHIRIKA KWA NAMNA MOJA AU NYINGINE...
~>TUNATAKA VIWANDA MLIVYOHAIDI HATUITAJI SARAKASI ZENU EBOOO...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom