Simon Adebisi
JF-Expert Member
- Aug 7, 2018
- 1,289
- 2,487
Da kwelo umekunikumbusha hilo beat mzee nalo ni balaakuliko Mtoto wa Kiume ya Jiz Mabovu?
Da kwelo umekunikumbusha hilo beat mzee nalo ni balaakuliko Mtoto wa Kiume ya Jiz Mabovu?
Ila bora kurogwa kuliko kukosa uhuru/Sio suala la uoga, kuogopa ukunguru
kama unaiweza hiyo ngoma nitakupa nyota mkuu. Ngoma ina slang na katuni za kutoshaPasi na shaka mkuu
Hahahaha I'm master bro usijalikama unaiweza hiyo ngoma nitakupa nyota mkuu. Ngoma ina slang na katuni za kutosha
RIP LangaWanaongelea pamba kumbe famba kariakoo/
Wanaongelea ganja kumbe hawajui hata kuroll/
Langa gangstar...
Bila video. Waliozaliwa miaka ya karibuni kuelewa hii nyimbo.Kimbia, Polisi maskani wakivamia/
Wakikudandia, hakika hawatakuachia/
Wakukute umetulia, au kipisi unamalizia/
Au labda kuna mchizi tu ulikuja kumuulizia/
Wanapoingia, nakushauri kimbia/
Wakikudandia, ujue watakuharibia/
Na kama huna mshiko, kukuacha ni ndoto/
Watakupa kesi ya kukudaka na gunia la msokoto/
Wakikumind kichizi wanakupa kesi ya chamoto/
We kimbia, kimbia acha kusinzia/
Maskani sio sehemu ya kuja kusikilizia/
Ka wewe ni mchizi wa kitaani au wewe unakula jani/
Unapokuja maskani usifikiri upo nyumbani/
Maskani kama vitani, kuwa makini sio utani/
Kama unaweka roho ubaoni au kama kidume unyagoni/
Maskani hakuna ujirani, ukidandiwa peke yako usitaje ulikuwa na nani/
We kimbia tu kimbia,polisi mshikaji nyumbani/
Unapofika nae kituoni anakuacha kama hakuoni/
Mwisho wa siku unajikuta viatu na mkanda ubaoni/
Na wewe mwenyewe ndani.
Hata naposimama hawasimami Langa alifanya mauaji ya halaiki mule.Hii beat ya huu wimbo ni ya kibabe sana...
Binafsi naikubali verse ya langa sana
"Mabuti ya kijeshi uyaone mafupi mepesi yani toka nduki toka lesi"
Kiroboto ingekuwa ni mbele angekuwa na hadhi sana. Angekuwa ni bonge moja la icon sema ndo hivyo bongo nyoso.Kesho tuwekee mistari ya Hili Game ya Kiroboto
True that bongo kuna watu wanaudai mziki sana yani na sioni wao kupata chao...Kiroboto ingekuwa ni mbele angekuwa na hadhi sana. Angekuwa ni bonge moja la icon sema ndo hivyo bongo nyoso.
Nature amefanya kila aina ya style ya Bongo Fleva na nyimbo zilikuwa kali.
My Timbs start feeling like they Nike Airs on meHii beat ya huu wimbo ni ya kibabe sana...
Binafsi naikubali verse ya langa sana
"Mabuti ya kijeshi uyaone mafupi mepesi yani toka nduki toka lesi"
Familiar enough... most of our rappers wanatwist tu kidogo mfani Fid Q ngima zake nyingi punch anasample ila ikisikilizika kiswahili inabang zaidiMy Timbs start feeling like they Nike Airs on me
Verse ya Jadakiss kwenye wimbo wa "Run" wa Ghostface Killa. Sounds familiar...?
tafuta .,wimbo unaitwa,babuu kitaaBa
Babuu wa kitaa hakika jina lake linaonyesha namna gani anavyojua lifestyle ya mtaa kaelezea vizuri sana bonge moja la ngoma🔥🔥🔥🔥🔥
Langa atabaki kua best lyrical artist ever kwenye hip-hop ya bongo....Marashi ya isymeyak/ukinicheki msafi, sitoki masaki natokea king'oko