KIMARA shida ya Maji

KIMARA shida ya Maji

BABA E's

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2012
Posts
354
Reaction score
136
Nasikitika kusema wakazi wa Kimara hatujapata maji kwa muda mrefu. Leo yametoka kwa nusu saa tu.

Tatizo langu ni kwanini hakuna taarifa zozote kuhusiana na hili.

Hiyo nusu saa ni majaribio au!.
 
Back
Top Bottom