Ntolonyonyo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 2,231
- 2,361
Hahaha...waarabu watu wa ajabu sana....yaan wao kupiga mtu risasi au kuua kwa namna yeyote ile kwao ni kama kukohoa tu..kitu cha kawaida sana.....wana roho ngumu sana.....
Kwahyo BBC ni marekani? Afu watunge huo utoto marekani supper power watanufaikaje kwa propaganda ya kijinga ka hyo?marekani wametuweza sana wabongo!! maana sie tukisikia jambo kabla hatujathibitisha kama Ni kweli au aungo tushaanza kutoa maoni
waarabu wana akili ndogo sanaUarabuni kutoana uhai ni kitu cha kawaida, wao damu ni kama maji
Sijui ilikuwaje mpaka wakawafanya watumwa mababu na mabibi zetuwaarabu wana akili ndogo sana