Wana jamii wenzangu eti kweli Kilwa kivinje kuna Pyramid?
Kauliza swali, mjibu basi acha hizoWe umeiona??
Nimeshawahi kufika Kilwa Masoko lakini Kivinje sijawahi kufika.Nikiwepo pale waliniambia kivinje kuna majengo mengi sana ya kihistoria na kumbukumbu mbalimbali lakini siku sikia kuhusu Pyramid. Labda ndugu zetu wamatumbi waje watuelezee vizuri kuhusu hili.
Lengo la maelezo yote hayo tujue ushafika kilwa ama?