Usidanganyike wewe mkuu.Inavyoonyesha ni kuwa huyu kiongozi mkuu for some reason alikuwa misled (or wrongly selfled) kuwa mbunge wa Kilosa ni wa kutoka Chadema.
Kuna uwezekano mkubwa kachanganya madesa - akidhani ni jimbo la Mikumi (la Chadema) ambalo lipo in proximity with lile la Kilosa (la chama chetu CCM).
Bomu likaangukia uraini - sasa kazi ikawa awaokoe vipi wahanga. Ikabidi ipigwe "CCM oyee" ya nguvu na ahadi kutolewa hapo kwa papo.
By the way sikujua kampeni zimeanza. Na pia nilikuwa sijui kama kiongozi wa nchi akiwa kwenye ziara ya kiserekali anaruhusiwa kisheria kushabikia chama chake. Hii ipo Tanzania tu.
Tukutane #BagonzaWhite77.
View attachment 1492554
lakini ukumbuke hata jimbo la mikumi liko wilaya ya kilosa pia, hivyo anzeni kumtafutia jamaa show za kufanya.Inavyoonyesha ni kuwa huyu kiongozi mkuu for some reason alikuwa misled (or wrongly selfled) kuwa mbunge wa Kilosa ni wa kutoka Chadema.
Kuna uwezekano mkubwa kachanganya madesa - akidhani ni jimbo la Mikumi (la Chadema) ambalo lipo in proximity with lile la Kilosa (la chama chetu CCM).
Bomu likaangukia uraini - sasa kazi ikawa awaokoe vipi wahanga. Ikabidi ipigwe "CCM oyee" ya nguvu na ahadi kutolewa hapo kwa papo.
By the way sikujua kampeni zimeanza. Na pia nilikuwa sijui kama kiongozi wa nchi akiwa kwenye ziara ya kiserekali anaruhusiwa kisheria kushabikia chama chake. Hii ipo Tanzania tu.
Tukutane #BagonzaWhite77.
View attachment 1492554
Nilisubilia kusikia jina la mbunge wa hapo sikulipatahapa professa J ndyo alikuwa kalengwa kumbe ni professa kabudi.
leo ndio najua kabudi ni mbunge wa kuchaguliwa na wananchi!!!hapa professa J ndyo alikuwa kalengwa kumbe ni professa kabudi.
huwezi kulipata maana hata wananchi wenyewe wameshindwa kujua,wapo waliodai ni mbunge wa chadema na wengine Ccm, play tena hiyo video utajua kwamba hii nchi bado sanaNilisubilia kusikia jina la mbunge wa hapo sikulipata
Uko SahihiInavyoonyesha ni kuwa huyu kiongozi mkuu for some reason alikuwa misled (or wrongly selfled) kuwa mbunge wa Kilosa ni wa kutoka Chadema.
Kuna uwezekano mkubwa kachanganya madesa - akidhani ni jimbo la Mikumi (la Chadema) ambalo lipo in proximity with lile la Kilosa (la chama chetu CCM).
Bomu likaangukia uraini - sasa kazi ikawa awaokoe vipi wahanga. Ikabidi ipigwe "CCM oyee" ya nguvu na ahadi kutolewa hapo kwa papo.
By the way sikujua kampeni zimeanza. Na pia nilikuwa sijui kama kiongozi wa nchi akiwa kwenye ziara ya kiserekali anaruhusiwa kisheria kushabikia chama chake. Hii ipo Tanzania tu.
Tukutane #BagonzaWhite77.
View attachment 1492554
Yule kachaguliwa lini? Si katolewa jalalani hapo mlimani kapata lini jimbo?leo ndio najua kabudi ni mbunge wa kuchaguliwa na wananchi!!!
hapo jiwe amekwama mno,anatudanganya maendeleo hayana vyama
Nimeiona live channel niliokuwepo walijiunga tena ilianzia hapo hapohuwezi kulipata maana hata wananchi wenyewe wameshindwa kujua,wapo waliodai ni mbunge wa chadema na wengine Ccm, play tena hiyo video utajua kwamba hii nchi bado sana
huyo mkuu hapo juu ameandika maneno yanayoashiria “kijana” kabudi ni mbunge wa hilo jimbo ,hata mimi huwa nafahamu kwamba yule aliteuliwa ndio maana nimechanganyikiwa mkuuYule kachaguliwa lini? Si katolewa jalalani hapo mlimani kapata lini jimbo?
Huyo viti maalumu kama mama Tanzania kwa mara ya kwanza aliingia viti maalumuhuyo mkuu hapo juu ameandika maneno yanayoashiria “kijana” kabudi ni mbunge wa hilo jimbo ,hata mimi huwa nafahamu kwamba yule aliteuliwa ndio maana nimechanganyikiwa mkuu
Utamkamata Baba mwenye nyumba? Halafu ulale wapi na ukale wapiAibu sana! Shida ya kuanza kampeni mapema.....wacha waumbuke tu kwa ubinafsi wao uliopitiliza.
Unashangaa tume ya uchaguzi kimya, msajili wa vvya kimya, polisi kimya etc.....kama hawaoni hizi kampeni vile.
Mkuu ukiangalia upinzani watadai Tume Huru kweli. Mie naona kama tupo tupo tu!
Wapinzani viongozi hawaoni Tume Huru ni muhimu naona nao wanaanza kampeni akina nccr cuf wako bega kwa bega na watawala