Sasa yule mwarabu na Chadema wana tofauti gani?Inavyoonyesha ni kuwa huyu kiongozi mkuu for some reason alikuwa misled (or wrongly selfled) kuwa mbunge wa Kilosa ni wa kutoka Chadema.
Kuna uwezekano mkubwa kachanganya madesa - akidhani ni jimbo la Mikumi (la Chadema) ambalo lipo in proximity with lile la Kilosa (la chama chetu CCM).
Bomu likaangukia uraini - sasa kazi ikawa awaokoe vipi wahanga. Ikabidi ipigwe "CCM oyee" ya nguvu na ahadi kutolewa hapo kwa papo.
By the way sikujua kampeni zimeanza. Na pia nilikuwa sijui kama kiongozi wa nchi akiwa kwenye ziara ya kiserekali anaruhusiwa kisheria kushabikia chama chake. Hii ipo Tanzania tu.
Tukutane #BagonzaWhite77.
Hakuna pia Polisi atakayekubali auwawe na Wanachi Kisa upuuzi wa mtubila tume huru, hakuna hata mgombea ubunge atakayeshinda kutoka Chadema wala ACT. huo ndiyo ukweli. watapita mapandikizi tu wa NCCR na CUF.
FACT.
kwamba eti vyama vitalinda kura baada ya polling ni kujidanganya. hakuna DED atakayekuwa tayari kuona kibarua chake kinaota nyasi - never!
tukumbuke kilichotokea uchaguzi wa marudio Kinondoni.
Baba Askofu Bagonza kaona mbali.
tukutane #BagonzaWhite77!
Nchi ya vilaza waliotukuka dunianiInavyoonyesha ni kuwa huyu kiongozi mkuu for some reason alikuwa misled (or wrongly selfled) kuwa mbunge wa Kilosa ni wa kutoka Chadema.
Kuna uwezekano mkubwa kachanganya madesa - akidhani ni jimbo la Mikumi (la Chadema) ambalo lipo in proximity with lile la Kilosa (la chama chetu CCM).
Bomu likaangukia uraini - sasa kazi ikawa awaokoe vipi wahanga. Ikabidi ipigwe "CCM oyee" ya nguvu na ahadi kutolewa hapo kwa papo.
By the way sikujua kampeni zimeanza. Na pia nilikuwa sijui kama kiongozi wa nchi akiwa kwenye ziara ya kiserekali anaruhusiwa kisheria kushabikia chama chake. Hii ipo Tanzania tu.
Tukutane #BagonzaWhite77.
Andika vizur iwekwe kwenye ilani tuanze kuinadiInavyoonyesha ni kuwa huyu kiongozi mkuu for some reason alikuwa misled (or wrongly selfled) kuwa mbunge wa Kilosa ni wa kutoka Chadema.
Kuna uwezekano mkubwa kachanganya madesa - akidhani ni jimbo la Mikumi (la Chadema) ambalo lipo in proximity with lile la Kilosa (la chama chetu CCM).
Bomu likaangukia uraini - sasa kazi ikawa awaokoe vipi wahanga. Ikabidi ipigwe "CCM oyee" ya nguvu na ahadi kutolewa hapo kwa papo.
By the way sikujua kampeni zimeanza. Na pia nilikuwa sijui kama kiongozi wa nchi akiwa kwenye ziara ya kiserekali anaruhusiwa kisheria kushabikia chama chake. Hii ipo Tanzania tu.
Tukutane #BagonzaWhite77.
bila tume huru, hakuna hata mgombea ubunge atakayeshinda kutoka Chadema wala ACT. huo ndiyo ukweli. watapita mapandikizi tu wa NCCR na CUF.
FACT.
kwamba eti vyama vitalinda kura baada ya polling ni kujidanganya. hakuna DED atakayekuwa tayari kuona kibarua chake kinaota nyasi - never!
tukumbuke kilichotokea uchaguzi wa marudio Kinondoni.
Baba Askofu Bagonza kaona mbali.
tukutane #BagonzaWhite77!
Umerudia jina la Paul Sylly. Reasoning capacity sifuri!Hivi unadhani kwamba CCM wote ni wazuri!!! Ni Lugha tu ya kuwasema hata walioko CCM kwamba na wao pia ni wabovu
Kwan maalim seif baada ya kususa kitu gan kimetokea mkuu....siku zote shetan ana nguvu ingia uringoni ukimsubiri pastorNashangaa wapinzani wa kweli kujiandaa kushiriki uchaguzi ambao ni dhahiri shairi ccm haiko tayari kukubali kupoteza. Ilipaswa kelele iwe ni tume huru ya uchaguzi, mpaka wanaojiandaa kuchezea uchaguzi wajue hali ni mbaya.
Comrade hii imenikumbusha movie ya Chale Chaplin alijipiga risasi ya mguuni mwenyewe 😁Sasa yule mwarabu na Chadema wana tofauti gani?