Kilo ya Sembe Tshs.1600/=

mkuu hiyo heba ukiipiga kwa mwenzi kama sio kwenda maakamani

unaweza kula drip sio vitu vya kuwaza ivyo....
 
sembe mnapika ugali wa watu zaidi ya watano kwa kilo moja. sasa kama ni alfu mia sita, kwani bia mnanunua bei gani moja, mbona mnanunua bia zaidi ya buku mbili, mnazungusha meza yote na keep chenji ya baa medi juu. vumilieni hadi 2020.


Pole sana time will tell nakwambia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…