networker
JF-Expert Member
- Apr 23, 2011
- 570
- 215
Bank ya Nmb tunaomba muwape Ambassadors wenu vyeti pindi wanapo maliza Muda wao. Kwani interview nyingi zina demand waoneshe validity ya wao kuwa ma ambassador wenu.pia kwa mfano mi ni mdada si furai navyo enda kwenye mechi. Jaribuni kutu motivate kwa namna ya kidada kwa wale walio na jinsia ya kike na wavulana ndio muwaweke kwenye mechi..swala la vyeti lifanyieni kazi jamani.
To
Aron Nyanda -(nmb bank)
To
Aron Nyanda -(nmb bank)