Me I and my self
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 4,029
- 8,637
Hivi jamani hili tatizo litaisha lini na serikali hii ya awamu ya tano iweze kuajiri vijana maana wanahamu sana wakafanye kazi kama kauli mbiu inavosema kazi tu tunavokaa mtaani tutajiingiza ktk makundi hatarishi !!
Unaanzaje kuwapa kuraMtaajiriwa 2019 wakati wa kampeni....kuna wagombea uchaguzi ujao watatembelea ulimi kuomba kura
Ndio muhitaji mabadiliko sio kung'ang'Ania ccmTumemalizia pabaya sana. Bora uchaguzi ungekuwa mwaka huu.
Walichotufanyia ccm sitakisahau kbsa. They are animals
Siwezi kuishabikia CCM hata siku moja bora nishaibikie timu ya mpira kuliko hawa jamaa.Ndio muhitaji mabadiliko sio kung'ang'Ania ccm
Mtaji wa kujiajiri uko wapi? hata hivyo mfumo wa elimu yetu haulengi kumuandaa mhitimu kujiajiriNa kung'ang'ania kuajiriwa wakijua kabisa kwamba ofisi hazitoshi ni aina nyingine ya kasoro anayokuwa nayo mtu ambae hajaelimika wanaitaje sijui uj.....
Elimu ya ujasiliamali wanavyouita wao inaletwa na shida, na hakuna sehemu wanapogawa mtaji, kwamba walio na mitaji kuna sehemu walipewa na pia ujue hakuna mtaji mdogo, unaweza ukaanza na kufyeka tu nyasi kwa upanga wa kuazima na baadae ukawa bilionea sema tukishapita darasani tunachagua kazi ila "mimi" ni wa tofauti nikikupa historia yangu huwezi kuaminiMtaji wa kujiajiri uko wapi? hata hivyo mfumo wa elimu yetu haulengi kumuandaa mhitimu kujiajiri
Mwezi ujao serikali inaanza upya kuhakiki watumishi wa umma. Nadhani wakimaliza wanaweza kuanza kufikiria masuala ya ajiraHivi jamani hili tatizo litaisha lini na serikali hii ya awamu ya tano iweze kuajiri vijana maana wanahamu sana wakafanye kazi kama kauli mbiu inavosema kazi tu tunavokaa mtaani tutajiingiza ktk makundi hatarishi !!
Yan apo ingekuwa poa sana anTumemalizia pabaya sana. Bora uchaguzi ungekuwa mwaka huu.
Walichotufanyia ccm sitakisahau kbsa. They are animals
Matumain yapo coz tunaishi kwa matumainUnaanzaje kuwapa kura
Kwli hapa kaz tu bnwaulize ccm shule za secondari zina walimu wa kutosha wa sayansi????Mbona ss hawaajiri walimu hao???????????ccm___avi.
Ttzo mtaala tuliosomeA haurusuUsitegemee serikali kumaliza tatizo la ajira, kinachowezekana ni kuwajengea watz mazingira ya kuzalisha ajira